Naomba kujuzwa mazuri na mabaya ya Starlet

Naomba kujuzwa mazuri na mabaya ya Starlet

Kaka naomba unishauri. Najichanga nifikishe 5 mil. nitafute gari ndogo kati ya Passo, Vitz, Starlet (najua kupata IST kwa bei hiyo mtihan)...
Kwa hapa mjini nakushauri uchukue vitz ya cc 990 old model, ni ngumu na vumilivu, pia inatumia mafuta vizuri sana. Passo sikushauri ndugu yangu, ina matumizi mazur ya mafuta ila injini yake sio vumilivu kabisa, pia starlet ni nziri na ni ngumu pia ila tu ni gari ya kizaman sana, ila kama utaipenda chukua tu, ila vitz ni ya kisasa zaid pia ni vumilivu kwenye miguu kuliko starlet, na kwa bei hyo uliyonayo vitz au starlet unapata tena nzuri sana ila ni mkonon kwa mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka naomba unishauri. Najichanga nifikishe 5 mil. nitafute gari ndogo kati ya Passo, Vitz, Starlet (najua kupata IST kwa bei hiyo mtihan).

Je naweza kupata kweli kwa bei hiyo? Halafu nataka hiyo milioni 5 ijumuishe hadi BIMA ya gari (sijui ndio mnaita licence).
Nitaweza kweli ama najidanganya niendelee kusugua malapa?..
Kamata gari baina ya Vits ama Starlet mkuu yenye engine ya 1,300cc ama zaidi!
 
Passo je? Au vitz. Najichanga nifikishe around 5 mil. nitafute Passo au Vitz. Unadhani Niko sahihi? Naomba unishauri. Ama namie nibakie kwenye starlet.

NB: Kumbuka sijawahi kumiliki gari. Nataka usafiri kuniwezesha root za UDSM, Kimara na Bunju tufanye.
mbona gari zipo nyingi we unakazana na ivo bibobo kama una mil 5 unapata gari nzuri tu
 
Ushauri wangu kutokana na uzoefu, nunua gari zuri lenye bei ya chini ukizingatia upya wa bodi, injini achana nayo, maana watu wengi wanashusha bei kama injini ni mbovu sana.

Then, nunua injini used (nje) zipo zinapatikana (around 2m) then badili hiyo injini. Utainjoi sana gari lako jipya
 
Kamata gari baina ya Vits ama Starlet mkuu yenye engine ya 1,300cc ama zaidi!

Blaza Extrovert sorry. Hivi bima ya hizi mini cars huwa inacheza kwenye kiasi gani? Naonaga watu wengi wanashikwa na matraffic kwa kosa la bima zao kuisha. Hadi wanapigwa faini.

Hivi tatizo huwa nini, kwamba kulipia bima ni expensive sana or what?
 
Blaza Extrovert sorry.
Hivi bima ya hizi mini cars huwa inacheza kwenye kiasi gani?
Naonaga watu wengi wanashikwa na matraffic kwa kosa la bima zao kuisha. Hadi wanapigwa faini.
Hivi tatizo huwa nini, kwamba kulipia bima ni expensive sana or what?
Bima inaanzia laki moja na elfu 18 na kiendelea
 
Blaza Extrovert sorry.
Hivi bima ya hizi mini cars huwa inacheza kwenye kiasi gani?
Naonaga watu wengi wanashikwa na matraffic kwa kosa la bima zao kuisha. Hadi wanapigwa faini.
Hivi tatizo huwa nini, kwamba kulipia bima ni expensive sana or what?
Bima ni 118,000/= Standard price kwa 3rd party. Mtu ambaye anatembea bila bima ni mzembe haswa. Ukikata bima inakaa mwaka mzima.
 
Ukubali ukatae injini yake sio vumilivu kama unachelwesha service, naongea hivyo sio kwa kubahatisha.

starlet ikizungusha biashara imeisha, tofaut na 1nz injin au 2nz, nilisha kuwa na starlet ilipo zungusha haikuweza kwenda umbali mrefu, ila 2nz ilizungusha bukoba baada ya kuweka oil fake, tukabadili oili na ikatembea had Dar, je starlet unadhan ingeweza kufanya hvyo...
Kweni kuna gari isiyo fanyiwa service ipasavyo na ikadumu? Mbona unachanganya watu we jamaa
 
Kweni kuna gari isiyo fanyiwa service ipasavyo na ikadumu? Mbona unachanganya watu we jamaa
Umeshindwa kunielewa mkuu, nilichomaanisha ni kwamba kuna injin vumilivu na zisizo vumilivu, rudia kusoma post yangu vizur uelewe kabla ya kukaa kulaumu.
 
Kweni kuna gari isiyo fanyiwa service ipasavyo na ikadumu? Mbona unachanganya watu we jamaa
Labda nikupe pia mfano wa injini ambayo haihitaji janja janja hata kidogo ni 1AZ, fatilia hyo injini nadhan utaelewa ninapokuambia kuwa kuna injin vumilivu na isiyovumilia ikikosa service hata kidogo tu.
 
Mmh! yan wewe mwanamme nzima unafkiria kununua Starlet au Vits? unanitia Aibu sana Aaargggh! Pambana ununuwe angalau IST yenye INZ ninzur sana na long safar inaperfom better.

Ukishindwa nunuwa Altezza 4cylinder unai PMP unatamba mjini lakin siyo upuuzi wa Starlet
 
Mmh! yan wewe mwanamme nzima unafkiria kununua Starlet au Vits? unanitia Aibu sana Aaargggh!
Pambana ununuwe angalau IST yenye INZ ninzur sana na long safar inaperfom better
Ukishindwa nunuwa Altezza 4cylinder unai PMP unatamba mjini lakin siyo upuuzi wa Starlet
Aisee...wheel base ya IST fupi sana...yaani ukisafiri nayo inadunda dunda...umafika umechoka sana.....hii ni nzuri sana kwa town trip
 
Mmh! yan wewe mwanamme nzima unafkiria kununua Starlet au Vits? unanitia Aibu sana Aaargggh!
Pambana ununuwe angalau IST yenye INZ ninzur sana na long safar inaperfom better
Ukishindwa nunuwa Altezza 4cylinder unai PMP unatamba mjini lakin siyo upuuzi wa Starlet
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aisee...wheel base ya IST fupi sana...yaani ukisafiri nayo inadunda dunda...umafika umechoka sana.....hii ni nzuri sana kwa town trip
[emoji23][emoji23][emoji23]kwa mm naona bora hata Ist au Vitz ya cc 1290 kuliko Starlet
 
Yaani kwa kifupi kuendesha gari la chini ya cc 1490...ni shida tu..

Sema sasa vipato vyetu ndiyo hivyo tena..[emoji26][emoji26]
 
Back
Top Bottom