Naomba kujuzwa namna ya kulipia bidhaa nje ya nchi na maana ya ZIP code

Naomba kujuzwa namna ya kulipia bidhaa nje ya nchi na maana ya ZIP code

Mtemi01

Member
Joined
Dec 23, 2023
Posts
18
Reaction score
35
Kama mada ilivyo. Natamani kuanza kununua bidhaa kutoka nje ya nchi kupitia hii mitandao ya uuzaji kama Alibaba, AliExpress etc japo kwa sasa nataka nianze na AliExpress.

Sasa kuna kipengele cha kulipia bidhaa hapo ndio nakwama maana Kuna mahali naambiwa niweke card. Pia Kuna mahali wanataka niweke ZIP code, hapo najaza code gani?

Mfano ni picha hizo
Asanteni
markup_1000062501.png
Screenshot_20250220-011059.png
 
Tanzania hatuna system ya zip code badala yake tunatumia system ya postal code au anuani za makazi, kila mkoa unayo namba yake, sema mkoa uliopo tukuwekee. Hiyo code huwa na five digits, mfano 25101 - mbeya .

Kuhusu card bonyeza kwenye add card hapo utaletewa sehemu za kujaza card number sio akaunti namba na cvv code hii huwa nyuma ya card zinakuwa namba tatu.
 
Asante boss kama ni post code naijua. Kuhusu hizo namba cvv ni zipo hapa kwenye kadi yangu?
 

Attachments

  • PXL_20250220_042750529.MP.jpg
    PXL_20250220_042750529.MP.jpg
    289.2 KB · Views: 2
Asante boss kama ni post code naijua. Kuhusu hizo namba cvv ni zipo hapa kwenye kadi yangu?
Kuwa makini na hiyo CVV maana ni kama password ya hiyo kadi namba yako, mtu akiifahamu tu umekwisha.

Pia malipo mengi ya mtandaoni ni vizuri kufanya na prepaid/ credit card.
 
Back
Top Bottom