Naomba kujuzwa suluhisho la Uvimbe kwenye Ovary

Naomba kujuzwa suluhisho la Uvimbe kwenye Ovary

Ni kweli uko sahihi sana,lakini jambo gumu ni kuwa huwezi kupona bila kujaribu kwa kuogopa kutapeliwa.Unapokuwa na ugonjwa siyo lazima upone,kuna magonjwa mengine unakuta ndiyo Mungu amepanga iwe njia ya mtu kuondoka duniani.Nenda mhimbili,Bugando na kila mahali mpaka appolo India,watu wanafariki kwa changamoto mbalimbali za magonjwa na hakuna anayesema wametapeliwa.Ili uweze kupata tiba lazima ukubali kwanza kutibiwa,you never know unaweza kupona katika kile unachokiona kukipuuza.Ninamtia moyo Dada azidi kupambana kutafuta tiba,tena katika magonjwa mepesi kupona katika dawa za mimea ni pamoja na vimbe kwenye kizazi!!
Yani hapo shida ni kujua wapi wanauza dawa ambazo ni sahihi zinatibu
 
pole mama utapona na utazaa handsome kama mimi..
 
Ni kweli uko sahihi sana,lakini jambo gumu ni kuwa huwezi kupona bila kujaribu kwa kuogopa kutapeliwa.Unapokuwa na ugonjwa siyo lazima upone,kuna magonjwa mengine unakuta ndiyo Mungu amepanga iwe njia ya mtu kuondoka duniani.Nenda mhimbili,Bugando na kila mahali mpaka appolo India,watu wanafariki kwa changamoto mbalimbali za magonjwa na hakuna anayesema wametapeliwa.Ili uweze kupata tiba lazima ukubali kwanza kutibiwa,you never know unaweza kupona katika kile unachokiona kukipuuza.Ninamtia moyo Dada azidi kupambana kutafuta tiba,tena katika magonjwa mepesi kupona katika dawa za mimea ni pamoja na vimbe kwenye kizazi!!
Nianze kukuambia Mungu hapangi watu wafe na ugonjwa fulani. Ingekuwa hivyo basi kusingekuwa na sababu ya kutibiwa wala kuomba tunapougua. Pili Kufia hospital pamoja baada ya madaktari kushindwa tiba siyo utapeli bali inaweza kuwa kuna sababu nyingi. Tatu matapeli wenye kujifanya wana dawa za kutibu ugonjwa fulani wako wengi sana na ni lazima watu wachukuwe tahadhari. Kuna ugumu gani kama unadhani dawa yako ya miti shamba inatibu ugonjwa fulani iwapo utampa mgonjwa akishapona ndiyo akulipe?
 
Nianze kukuambia Mungu hapangi watu wafe na ugonjwa fulani. Ingekuwa hivyo basi kusingekuwa na sababu ya kutibiwa wala kuomba tunapougua. Pili Kufia hospital pamoja baada ya madaktari kushindwa tiba siyo utapeli bali inaweza kuwa kuna sababu nyingi. Tatu matapeli wenye kujifanya wana dawa za kutibu ugonjwa fulani wako wengi sana na ni lazima watu wachukuwe tahadhari. Kuna ugumu gani kama unadhani dawa yako ya miti shamba inatibu ugonjwa fulani iwapo utampa mgonjwa akishapona ndiyo akulipe?
Umejibu vizuri sana
 
Back
Top Bottom