Naomba kujuzwa tiba ya Uric Acid nyingi mwilini

Naomba kujuzwa tiba ya Uric Acid nyingi mwilini

Habari ya leo wakuu, kama kichwa cha habari kinavyosema.
Ningependa nipate msaada wenu kwa kunifahamisha dawa au tiba ya Uric acid nyingi mwilini.

Natanguliza shukrani
Fafanua madhara na dalili za kuwa na uric acid kuzidi kiwango ni zipi.? Ili wataalamu watakapoleta majibu tuwe unahakika ni tatizo lipi?
 
Ilisababishwa na nini?
Sina hakika lakini, kuna kipindi nilikuwa nafanya mazoezi ghafla nikaacha. Then maumivu kwa maungio......nilikwenda hospital tofauti tofauti nilikuwa napewa dawa za kumeza.. ..huo mwaka nilimeza dawa nyingi haijawahi tokea maishan mwangu.
Nitashukuru endapo utanipa ushauri au msaada wowote mkuu
 
Habari ya leo wakuu, kama kichwa cha habari kinavyosema.
Ningependa nipate msaada wenu kwa kunifahamisha dawa au tiba ya Uric acid nyingi mwilini.

Natanguliza shukrani
Ni shida Sana hii
 
Fafanua madhara na dalili za kuwa na uric acid kuzidi kiwango ni zipi.? Ili wataalamu watakapoleta majibu tuwe unahakika ni tatizo lipi?
Kwangu mimi napata maumizi almost kwenye maungo yote, yaan miguuni , mkononi n.k. Maumivu flan hivi kama moto unababua
 
Tumia kwa wingi vegetables na alkaline fruits: pineapples, H2Omelon, grapefruits, apricots, apples, avocados, tomatoes, bananas, oranges, ^kukumba,^ etc
Hivi nikitumia hayo matunda hususani machungwa, sio kwamba ndio nitazidi kuongoza kiwango cha acid? Maana chungwa lina asidi.....nipe mwongozo mkuu maana nakumbuka kuna docta flan alinipa ushaur nipunguze kutumia hivyo vitu
 
Habari ya leo wakuu, kama kichwa cha habari kinavyosema.
Ningependa nipate msaada wenu kwa kunifahamisha dawa au tiba ya Uric acid nyingi mwilini.

Natanguliza shukrani
Uric acid is a waste product found in blood. It's created when the body breaks down chemicals called purines. Most uric acid dissolves in the blood, passes through the kidneys and leaves the body in urine. Food and drinks high in purines also increase the level of uric acid

How can I reduce uric acid in my body?

Natural Ways to Reduce Uric Acid in the Body

  1. Limit purine-rich foods.
  2. Avoid sugar.
  3. Avoid alcohol.
  4. Lose weight.
  5. Balance insulin.
  6. Add fiber.
  7. Reduce stress.
  8. Check medications and supplements.

Hello Pole sana Mkuu kwa maradhi yako ukitumia dawa za hospitali hujapona nitafute mimi kwa wakati wako ili niweze kukutibia maradhi yako upate kupona uguwa pole.
 
Japo sikuambiwa hilo hospital, niliambiwa ni uric acid ipo juu.
Hata kama kesi ni hiyo mkuu, nitumie dawa zipi ndugu.

Habari ya leo wakuu, kama kichwa cha habari kinavyosema.
Ningependa nipate msaada wenu kwa kunifahamisha dawa au tiba ya Uric acid nyingi mwilini.

Natanguliza shukrani
Pole sana ndugu, hata miki milikuwa na hii shida ilinisumbua sana, zaidi ya mwaka mmoja nilitumia dawa sana lakini sikupata nafuu.

Hata hivyo nilimpata Dr. Mmoja alinipa somo vizuri sana.

Alinipa Dawa aina ya Allopurinol hii inapambana na uzalishaji wa Uric Acid mwilini nilipewa dawa ya kutumia wiki 8, pamoja na zankutuliza maumivu Ibuprofen na baadaye Indomethacin, Dawa hizi ziliniponya mpaka leo nipo vizuri kabisa.

Sambamba na Dawa hizo nilipewa masharti yafuatayo:-

1. Usinywe Pombe hasa Beer (Hapa ilikuwa mtihani sana ndiyo maana awali pamoja na kitumia dawa nilikuwa nakatiza doze sana

2. Nisitumie kabisa Nyama Nyekundu hasa maini, mapupu, moyo na damu ( Nilikuwa mtimiaji mzuri sana wa hizi organs za mbuzi tulikuwa tinachanganya na damu na nyama ya mbuzi naitwa Udee

3. Kunywa maji ya kutosha lita zisizopungia 3 kwa siku, kumbuka kunywa maji mengi wakati wa kumeza Dawa Allopurional

4. Fanya mazoezi angalau dk 15-20 daily au 30-60 weekend.

4. Epuka Njegere, ina kiasi kikubwa cha purine ambayo mdiyo mama wa kuzalisha Uric Acid.

5. Tumia zaidi matunda na mboga mboga

6. Epuka soda, Sukari na Juice yenye kuongezwa sulari kwa kiasi kidogo kunywa Soda aina ya Soda Water hii ina alcaline insaidia kupunguza acid kwa damu.

Ukifuata masharti haya yote na kutumia dawa kwa uangalifu nakuhakikishia utapona kabisa.

Utakuja kunishukuru na ulete na ushuhuda hapa.
 
Uric acid is a waste product found in blood. It's created when the body breaks down chemicals called purines. Most uric acid dissolves in the blood, passes through the kidneys and leaves the body in urine. Food and drinks high in purines also increase the level of uric acid

How can I reduce uric acid in my body?

Natural Ways to Reduce Uric Acid in the Body

  1. Limit purine-rich foods.
  2. Avoid sugar.
  3. Avoid alcohol.
  4. Lose weight.
  5. Balance insulin.
  6. Add fiber.
  7. Reduce stress.
  8. Check medications and supplements.

Hello Pole sana Mkuu kwa maradhi yako ukitumia dawa za hospitali hujapona nitafute mimi kwa wakati wako ili niweze kukutibia maradhi yako upate kupona uguwa pole.
Nashukuru sana Mkuu, nitafanya hovyo.
 
Pole sana ndugu, hata miki milikuwa na hii shida ilinisumbua sana, zaidi ya mwaka mmoja nilitumia dawa sana lakini sikupata nafuu.

Hata hivyo nilimpata Dr. Mmoja alinipa somo vizuri sana.

Alinipa Dawa aina ya Allopurinol hii inapambana na uzalishaji wa Uric Acid mwilini nilipewa dawa ya kutumia wiki 8, pamoja na zankutuliza maumivu Ibuprofen na baadaye Indomethacin, Dawa hizi ziliniponya mpaka leo nipo vizuri kabisa.

Sambamba na Dawa hizo nilipewa masharti yafuatayo:-

1. Usinywe Pombe hasa Beer (Hapa ilikuwa mtihani sana ndiyo maana awali pamoja na kitumia dawa nilikuwa nakatiza doze sana

2. Nisitumie kabisa Nyama Nyekundu hasa maini, mapupu, moyo na damu ( Nilikuwa mtimiaji mzuri sana wa hizi organs za mbuzi tulikuwa tinachanganya na damu na nyama ya mbuzi naitwa Udee

3. Kunywa maji ya kutosha lita zisizopungia 3 kwa siku, kumbuka kunywa maji mengi wakati wa kumeza Dawa Allopurional

4. Fanya mazoezi angalau dk 15-20 daily au 30-60 weekend.

4. Epuka Njegere, ina kiasi kikubwa cha purine ambayo mdiyo mama wa kuzalisha Uric Acid.

5. Tumia zaidi matunda na mboga mboga

6. Epuka soda, Sukari na Juice yenye kuongezwa sulari kwa kiasi kidogo kunywa Soda aina ya Soda Water hii ina alcaline insaidia kupunguza acid kwa damu.

Ukifuata masharti haya yote na kutumia dawa kwa uangalifu nakuhakikishia utapona kabisa.

Utakuja kunishukuru na ulete na ushuhuda hapa.
Nashukuru sana mkuu, hizo dawa zinaitwa Allopurinol zinapatikana kwa phamarcy zetu hapa Tz?
 
Back
Top Bottom