HardMartin
JF-Expert Member
- Jun 8, 2012
- 306
- 109
- Thread starter
- #41
bila shaka, hii haihusiani na nyama ya kuku. Ni nyama nyekundu pekee?ACHA KULA NYAMA HILO LA KWANZA wenzako wanatengeneza urea ww unatengeneza uric acid acha nyama mara 1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bila shaka, hii haihusiani na nyama ya kuku. Ni nyama nyekundu pekee?ACHA KULA NYAMA HILO LA KWANZA wenzako wanatengeneza urea ww unatengeneza uric acid acha nyama mara 1
Sina hakika lakini, kuna kipindi nilikuwa nafanya mazoezi ghafla nikaacha. Then maumivu kwa maungio......nilikwenda hospital tofauti tofauti nilikuwa napewa dawa za kumeza.. ..huo mwaka nilimeza dawa nyingi haijawahi tokea maishan mwangu.
Nitashukuru endapo utanipa ushauri au msaada wowote mkuu
Kwa upande wangu sijui ilisababishwa na nini,ila naona kama inataka kunilemazaIlisababishwa na nini?
Mkuu mimi nimepewa allupurinol,na meloxicam,na diclofenac kwa siku tano,kabla ya dozi hii nilishapewa tena hizi hizi kwa siku 5,siponi ila napata nafuu ya muda tuPole sana ndugu, hata miki milikuwa na hii shida ilinisumbua sana, zaidi ya mwaka mmoja nilitumia dawa sana lakini sikupata nafuu.
Hata hivyo nilimpata Dr. Mmoja alinipa somo vizuri sana.
Alinipa Dawa aina ya Allopurinol hii inapambana na uzalishaji wa Uric Acid mwilini nilipewa dawa ya kutumia wiki 8, pamoja na zankutuliza maumivu Ibuprofen na baadaye Indomethacin, Dawa hizi ziliniponya mpaka leo nipo vizuri kabisa.
Sambamba na Dawa hizo nilipewa masharti yafuatayo:-
1. Usinywe Pombe hasa Beer (Hapa ilikuwa mtihani sana ndiyo maana awali pamoja na kitumia dawa nilikuwa nakatiza doze sana
2. Nisitumie kabisa Nyama Nyekundu hasa maini, mapupu, moyo na damu ( Nilikuwa mtimiaji mzuri sana wa hizi organs za mbuzi tulikuwa tinachanganya na damu na nyama ya mbuzi naitwa Udee
3. Kunywa maji ya kutosha lita zisizopungia 3 kwa siku, kumbuka kunywa maji mengi wakati wa kumeza Dawa Allopurional
4. Fanya mazoezi angalau dk 15-20 daily au 30-60 weekend.
4. Epuka Njegere, ina kiasi kikubwa cha purine ambayo mdiyo mama wa kuzalisha Uric Acid.
5. Tumia zaidi matunda na mboga mboga
6. Epuka soda, Sukari na Juice yenye kuongezwa sulari kwa kiasi kidogo kunywa Soda aina ya Soda Water hii ina alcaline insaidia kupunguza acid kwa damu.
Ukifuata masharti haya yote na kutumia dawa kwa uangalifu nakuhakikishia utapona kabisa.
Utakuja kunishukuru na ulete na ushuhuda hapa.
Habari ya leo wakuu, kama kichwa cha habari kinavyosema.
Ningependa nipate msaada wenu kwa kunifahamisha dawa au tiba ya Uric acid nyingi mwilini.
Natanguliza shukrani
Kula nyama nyekundu kwa wingi ni moja ya sababu kubwa.Kwa upande wangu sijui ilisababishwa na nini,ila naona kama inataka kunilemaza
Fafanua kidogo mpenzi upo siku nyingi sanaTumia mlonge.
Mlonge zitumike mbegu, majani, mizizi,au gome?
Nipo mpendwa...majani ya mlonge yaliyokaushwa ndani na kusagwa yakawa unga..yanatumika kwenye maji vugu kikombe Cha chai na kijiko cha chai kimoja.. matumizi mara mbili kwa siku asubuhi na jioniFafanua kidogo mpenzi upo siku nyingi sana
Mkuu jaribu kutumia kwa week 8 kama alivyoshaur mdauMkuu mimi nimepewa allupurinol,na meloxicam,na diclofenac kwa siku tano,kabla ya dozi hii nilishapewa tena hizi hizi kwa siku 5,siponi ila napata nafuu ya muda tu
sawa mkuuMleta mada fuata miongozo...
Uric acid is a normal body waste product. It forms when chemicals called purines break down. Purines are a natural substance found in the body. They are also found in many foods such as liver, shellfish, and alcohol. They can also be formed in the body when DNA is broken down.Habari ya leo wakuu, kama kichwa cha habari kinavyosema.
Ningependa nipate msaada wenu kwa kunifahamisha dawa au tiba ya Uric acid nyingi mwilini.
Natanguliza shukrani
Kwa miaka yako hiyo ni ngumu kupata gout, inawezekana una shida ya upungufu wa borne marrow tu30 yrs
Nawe unanishauri nini mkuuKwa miaka yako hiyo ni ngumu kupata gout, inawezekana una shida ya upungufu wa borne marrow tu
Mkuu kwa siku tano mi chache inatakiwa wiki 6 mpaka 8 ndio utapona na kufuata hayo mashartiMkuu mimi nimepewa allupurinol,na meloxicam,na diclofenac kwa siku tano,kabla ya dozi hii nilishapewa tena hizi hizi kwa siku 5,siponi ila napata nafuu ya muda tu
Habari ya leo wakuu, kama kichwa cha habari kinavyosema.
Ningependa nipate msaada wenu kwa kunifahamisha dawa au tiba ya Uric acid nyingi mwilini.
Natanguliza shukrani
Tumia bamia kwa wingi sanaNawe unanishauri nini mkuu