Naomba kujuzwa tiba ya Uric Acid nyingi mwilini

Mimi sio dokta .
Ila naamini bamia zinaweza kukusaidia.
Sijawahi kulalamika maumivu ya viungo hata siku moja.
Kila siku nakula bamia zaidi ya 5 kwenye chakula changu
 
Mkuu mimi nimepewa allupurinol,na meloxicam,na diclofenac kwa siku tano,kabla ya dozi hii nilishapewa tena hizi hizi kwa siku 5,siponi ila napata nafuu ya muda tu
 
Pole Mkuu jaribu kutumia Blackseeds oil..
Habari ya leo wakuu, kama kichwa cha habari kinavyosema.

Ningependa nipate msaada wenu kwa kunifahamisha dawa au tiba ya Uric acid nyingi mwilini.

Natanguliza shukrani
 
Fafanua kidogo mpenzi upo siku nyingi sana
Nipo mpendwa...majani ya mlonge yaliyokaushwa ndani na kusagwa yakawa unga..yanatumika kwenye maji vugu kikombe Cha chai na kijiko cha chai kimoja.. matumizi mara mbili kwa siku asubuhi na jioni
 
Mkuu mimi nimepewa allupurinol,na meloxicam,na diclofenac kwa siku tano,kabla ya dozi hii nilishapewa tena hizi hizi kwa siku 5,siponi ila napata nafuu ya muda tu
Mkuu jaribu kutumia kwa week 8 kama alivyoshaur mdau
 
Habari ya leo wakuu, kama kichwa cha habari kinavyosema.

Ningependa nipate msaada wenu kwa kunifahamisha dawa au tiba ya Uric acid nyingi mwilini.

Natanguliza shukrani
Uric acid is a normal body waste product. It forms when chemicals called purines break down. Purines are a natural substance found in the body. They are also found in many foods such as liver, shellfish, and alcohol. They can also be formed in the body when DNA is broken down.
When purines are broken down to uric acid in the blood, the body gets rid of it when you urinate or have a bowel movement. But if your body makes too much uric acid, or if your kidneys aren't working well, uric acid can build up in the blood. Uric acid levels can also increase when you eat too many high-purine foods or take medicines like diuretics, aspirin, and niacin. Then crystals of uric acid can form and collect in the joints. This causes painful inflammation. This condition is called gout. It can also lead to kidney stone.

Kwa msaada na Ushauri zaidi wasiliana Basi Gombeyehealthcare.
Call/ WhatsApp number
0678211747.
 
Mkuu mimi nimepewa allupurinol,na meloxicam,na diclofenac kwa siku tano,kabla ya dozi hii nilishapewa tena hizi hizi kwa siku 5,siponi ila napata nafuu ya muda tu
Mkuu kwa siku tano mi chache inatakiwa wiki 6 mpaka 8 ndio utapona na kufuata hayo masharti
 
Habari ya leo wakuu, kama kichwa cha habari kinavyosema.

Ningependa nipate msaada wenu kwa kunifahamisha dawa au tiba ya Uric acid nyingi mwilini.

Natanguliza shukrani

Kama upo dar Tuwasiliane ili kesho uje upate mafunzo juu ya magonjwa haya na tiba yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…