HardMartin
JF-Expert Member
- Jun 8, 2012
- 306
- 109
- Thread starter
-
- #61
Mkuu kwa siku tano mi chache inatakiwa wiki 6 mpaka 8 ndio utapona na kufuata hayo masharti
Mkuu, kwasasa sipo huko, lakini huwa nakuja kila baada ya miezi kadhaa ikiwezekana nipate hata email yako au namba ya simu ili siku nikifika nikucheki.Kama upo dar Tuwasiliane ili kesho uje upate mafunzo juu ya magonjwa haya na tiba yake
Mkuu, ulipewa Allopurinol ya gram ngapi?Pole sana ndugu, hata miki milikuwa na hii shida ilinisumbua sana, zaidi ya mwaka mmoja nilitumia dawa sana lakini sikupata nafuu.
Hata hivyo nilimpata Dr. Mmoja alinipa somo vizuri sana.
Alinipa Dawa aina ya Allopurinol hii inapambana na uzalishaji wa Uric Acid mwilini nilipewa dawa ya kutumia wiki 8, pamoja na zankutuliza maumivu Ibuprofen na baadaye Indomethacin, Dawa hizi ziliniponya mpaka leo nipo vizuri kabisa.
Sambamba na Dawa hizo nilipewa masharti yafuatayo:-
1. Usinywe Pombe hasa Beer (Hapa ilikuwa mtihani sana ndiyo maana awali pamoja na kitumia dawa nilikuwa nakatiza doze sana
2. Nisitumie kabisa Nyama Nyekundu hasa maini, mapupu, moyo na damu ( Nilikuwa mtimiaji mzuri sana wa hizi organs za mbuzi tulikuwa tinachanganya na damu na nyama ya mbuzi naitwa Udee
3. Kunywa maji ya kutosha lita zisizopungia 3 kwa siku, kumbuka kunywa maji mengi wakati wa kumeza Dawa Allopurional
4. Fanya mazoezi angalau dk 15-20 daily au 30-60 weekend.
4. Epuka Njegere, ina kiasi kikubwa cha purine ambayo mdiyo mama wa kuzalisha Uric Acid.
5. Tumia zaidi matunda na mboga mboga
6. Epuka soda, Sukari na Juice yenye kuongezwa sulari kwa kiasi kidogo kunywa Soda aina ya Soda Water hii ina alcaline insaidia kupunguza acid kwa damu.
Ukifuata masharti haya yote na kutumia dawa kwa uangalifu nakuhakikishia utapona kabisa.
Utakuja kunishukuru na ulete na ushuhuda hapa.
300gmMkuu, ulipewa Allopurinol ya gram ngapi?
Leo nilienda kununua nikakuta kuna ya gram100 na 300 . Nikishindwa kujua nichukue ipi
Ahsante, dawa zilikusumbua sana wakati unatumia? I mean kwa kiwango ukashindwa endelea na shughuli za kawaida?300gm
Hapana ila wanaashauri ule ndiyo umezeAhsante, dawa zilikusumbua sana wakati unatumia? I mean kwa kiwango ukashindwa endelea na shughuli za kawaida?
Pia mazoezi nafanya wakati huu natumia dawa au baada ya kumaliza dozi. Kulingana na ushauri uliopewa
Mkuu, kwahyo hii dawa ndio dawa ya Uric acid iliyozidi..?300gm
Yes Allopurinol gram 300, soma maelezo yangu ya juu piaMkuu, kwahyo hii dawa ndio dawa ya Uric acid iliyozidi..?
Ok.. Iko sh ngapi pharmacy Sasa..?Yes Allopurinol gram 300, soma maelezo yangu ya juu pia
Sijui lakini haitakuwa ghali sanaO
Ok.. Iko sh ngapi pharmacy Sasa..?
Habari mkuu vipi ulipona tatzo lako?Kwangu mimi napata maumizi almost kwenye maungo yote, yaan miguuni , mkononi n.k. Maumivu flan hivi kama moto unababua
Somo zuri na limeeleweka.Pole sana ndugu, hata miki milikuwa na hii shida ilinisumbua sana, zaidi ya mwaka mmoja nilitumia dawa sana lakini sikupata nafuu.
Hata hivyo nilimpata Dr. Mmoja alinipa somo vizuri sana.
Alinipa Dawa aina ya Allopurinol hii inapambana na uzalishaji wa Uric Acid mwilini nilipewa dawa ya kutumia wiki 8, pamoja na zankutuliza maumivu Ibuprofen na baadaye Indomethacin, Dawa hizi ziliniponya mpaka leo nipo vizuri kabisa.
Sambamba na Dawa hizo nilipewa masharti yafuatayo:-
1. Usinywe Pombe hasa Beer (Hapa ilikuwa mtihani sana ndiyo maana awali pamoja na kitumia dawa nilikuwa nakatiza doze sana
2. Nisitumie kabisa Nyama Nyekundu hasa maini, mapupu, moyo na damu ( Nilikuwa mtimiaji mzuri sana wa hizi organs za mbuzi tulikuwa tinachanganya na damu na nyama ya mbuzi naitwa Udee
3. Kunywa maji ya kutosha lita zisizopungia 3 kwa siku, kumbuka kunywa maji mengi wakati wa kumeza Dawa Allopurional
4. Fanya mazoezi angalau dk 15-20 daily au 30-60 weekend.
4. Epuka Njegere, ina kiasi kikubwa cha purine ambayo mdiyo mama wa kuzalisha Uric Acid.
5. Tumia zaidi matunda na mboga mboga
6. Epuka soda, Sukari na Juice yenye kuongezwa sulari kwa kiasi kidogo kunywa Soda aina ya Soda Water hii ina alcaline insaidia kupunguza acid kwa damu.
Ukifuata masharti haya yote na kutumia dawa kwa uangalifu nakuhakikishia utapona kabisa.
Utakuja kunishukuru na ulete na ushuhuda hapa.
Unapatikana maduka ya dawa za asili?