Naomba kujuzwa uimara na ubora wa Honda Crossroad

Kaka wewe huwenda ni mwalimu mzuri sana nimekukubali kwa kutoa maelezo mazuri..na sehemu gani naweza enda kuipimp ikawa kama hammer..maana meziona ambazo zimepimpiwa aiseh zinamuonekano flani wa kinyamwezi sana..samahani lakin
 

Sema ni jembamba mnabanana kinoma humo ndani labda mkae 1 X 1 akiongezeka wa tatu ni hatari
 
Blake inaingiliana na alteza, Z link inaingiliana na Subaru, engine mount zinafanana na tako la nyani, hiyo chombo ina collabo la kutosha

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mplange unaingiliana na nini
 
Mleta mada natumae ulipata muongozo...
 
Lakin mbona nasikia hiz gari walishaacha kuzitengeneza kitambo
 
Nimefuatilia hii gari iliatengenezwa ikilenga soko la Japan halafu ililenga vijana wenye miaka 20-30 na wanandoa wachanga wenye watoto wadogo. Nimejaribu kuangalia kwenye calculator ya TRA ushuru wake ni 6M tu.
Haya magari hawayatengenezi tena....sijui ukinunua vipuri vyake inakuaje
 

Hapo ndio changamoto sijui wajuzi wanasemaje
 
Wadau nahitaji kununua gari aina ya Honda CrossRoad naomba ushauri kwa watalamu hasa kujua uimara, vifaa na utumiaji wa Mafuta.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…