donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
- Thread starter
-
- #21
Asante chiefAirbnb | Vacation rentals, cabins, beach houses, & more
Get an Airbnb for every kind of trip → 7 million vacation rentals → 2 million Guest Favorites → 220+ countries and regions worldwidewww.airbnb.com
Fungua link hapo juu then
Click AIRBNB your home
Utaona options za kufanya registration.
Labda abuni bnb ya kitanzania kwa kuanziaCha kwanza kabisa appartment zako ziwe za kisasa kweli, kwa mfano bedroom moja appartment inakuwa kama studio chumba cha kulala, lounge kitchen na toilet.
Huwezi kuingia kwenye mfumo wa biashara hiyo kwa nyumba chakavu au ya kuungaunga, zingatia hilo ndio muhimu kuliko yote.
Jenga ukuta mzee, kisha ndani paving na vibustani utakuwa umetisha.View attachment 2978933
Kibanda chenyewe
Nashkuru makaveliJenga ukuta mzee, kisha ndani paving na vibustani utakuwa umetisha.
Hali ya mazingira yanaongeza thamani.
Hapafai air bnb.pangisha. nyumba nzuriView attachment 2978933
Kibanda chenyewe
ShukraniHapafai air bnb.pangisha. nyumba nzuri
Mkuu sina uhakika sababu Marangu kuna mtu ana nyumba ya kawaida sana kila msimu anapata wazungu kwa njia ya mtandao bila shaka ndio hii kitu...Cha kwanza kabisa appartment zako ziwe za kisasa kweli, kwa mfano bedroom moja appartment inakuwa kama studio chumba cha kulala, lounge kitchen na toilet.
Huwezi kuingia kwenye mfumo wa biashara hiyo kwa nyumba chakavu au ya kuungaunga, zingatia hilo ndio muhimu kuliko yote.
Kabisa mimi mwaka wa 15 huu.....Hapa ndio kwenyewe kabisa
Marangu ni gate way to mount Kilimanjaro na weather nzuri.Mkuu sina uhakika sababu Marangu kuna mtu ana nyumba ya kawaida sana kila msimu anapata wazungu kwa njia ya mtandao bila shaka ndio hii kitu...
Ingia YouTube angalia video za tinny house, utaweza kujua ufanye nini uli umpate huyo mteja unayemtaka. Hii ni step ya kwanza kwakoView attachment 2978933
Kibanda chenyewe
Nimechelewa ila kama bado hujaifanya airbnb jitahidi weka uzio. Kisha weka pavements, ukoka na maua ndani bila kusahau miti ya matunda na kivuli. Weka tank la maji na emergency generator. Ungeweza zaidi weka na swiming pool. Pia samani za ndani ziwe nzuri na uweke TV kubwa, taa za kisasa nzuri. Si lazima ufanye vyote kwa pamoja ila hakikisha mwisho wa siku vyote nilivyotaja vinakuwepo, baadae Mungu akibariki unaweza jikuta ndio biashara yako hii unakuwa na apartments kadhaa.View attachment 2978933
Kibanda chenyewe
Mkuu +- kama ngapi imetumika kwa mjengo?View attachment 2978933
Kibanda chenyewe
Hongera Mkuu sio kibanda, shukuru Mungu!View attachment 2978933
Kibanda chenyewe