Naomba Kukaribishwa JamiiForums

Naomba Kukaribishwa JamiiForums

Karibu sana mkuu kwetu.!
Mkuu nimekuja kuona mahala mdogo wabgu kaolewa yaani hii nyumba ina "vyombo" balaa.. nimepewa chumba cha peke yangu hapa basi nikiwa nje inabidi nile kwa macho. Yaani natamani kyombo kimoja usiku kinivizie..
 
Mkuu nimekuja kuona mahala mdogo wabgu kaolewa yaani hii nyumba ina "vyombo" balaa.. nimepewa chumba cha peke yangu hapa basi nikiwa nje inabidi nile kwa macho. Yaani natamani kyombo kimoja usiku kinivizie..
Ahahhaah mkuu angalia usije ukasahau kurudi kwenu.!
 
Karibu Bwana mdogo, humu kila mtu amesoma, kila mtu ni mchumi, kila mtu ni mchambuzi wa siasa, kila mtu ana mafanikio, kila ana gari n.k

Chukua mazuri yetu, mabaya yetu tuachie.
😀😀😀😀...mi gari sina mbona?
 
Habari wana jamvi..
Km kichwa kinavyojieleza apo juu,nimekua mfuatiliaj wa mda mrefu juu ya mijadala mbali mbali,hivyo nimeona nami nijiunge nanyi ili nipate kuelimika na mambo mengi yanayojiri duniani.jinsia yng ni ME,hivyo naomben mnipokee ndg zang.
Nawasilisha..

Mbona munaukataa KE
 
Back
Top Bottom