Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila hii dunia hii,mpaka mwenyewe umejichekaNi aje wakuu, hii ni post yangu ya kwanza kabisa, ndio kwanza nimeingia hapa.
Like yako hapa ni ukaribisho rasmi kwangu.
Ahsante
Ila hii dunia hii,mpaka mwenyewe umejicheka
Ngoja nichungulie huko 😂
Na pisi kali zipo hapa jf?Karibu mwamba, nyikani JF,kila kitu na cha kila aina kipo🤪
Wewe ni nani hadi uniombe hiyo picha?Tunaomba Picha yako yenye kivuli cha blue nyuma ili usajiriwe kwenye kanzidata za JF
Hilo swali angeulizwa moderator 😂Mbna umekaa kabla hujaruhusiwa mkuu
Nilikuwa guest member kwa muda mrefu Ila hivi majuzi nikakata shauri niwe member kamili baada ya kubaini sista angu naye ni member kamili humu.Karibu sana Mbona umechelewa kujiunga humu au ulikua Guest member muda tu.
Kumbe mdudu wa ar chuga,karibu mwamba🤔Ahaa! Fresh sanaa, mshamba tengeru ndio home.
Pamoja mkuu,karibuKivipi ndugu?
Mimi sio mdudu mkuu, mimi nimestaarabika kidogo..Kumbe mdudu wa ar chuga,karibu mwamba🤔
Asante mkuuPamoja mkuu,karibu
Safi sana unaweza ni PM pia id ya Dada yetu nimuelekeze akupitishe wapi ndugu yetu mgeni 😀Nilikuwa guest member kwa muda mrefu Ila hivi majuzi nikakata shauri niwe member kamili baada ya kubaini sista angu naye ni member kamili humu.
Acha kuwaza wake za watuSafi sana unaweza ni PM pia id ya Dada yetu nimuelekeze akupitishe wapi ndugu yetu mgeni 😀
Asante mkuu
Kwa hiyo hakunaga waongo jf?Note;ukiwa muongo huku uwe na kumbukumbu,hapa sio fb.
Naisubiria picha yako uiweke hapa mkuuNdio na mimi nashangaa! au hajui utaratibu wa hapa JF ulivyo?
Akichelewa kuweka picha wataifuta Akaunti yake hii bila kuchelewa.