Nilikuwa namchukulia mwepesi kwa wakubwa wa ulaya kama Romania au Estonia tu.
Ila naona kama inabidi nimtafakari mara mbili mbili;
Karibuni mnaomfahamu na kuifahamu!
Ila naona kama inabidi nimtafakari mara mbili mbili;
- Alipinduliwa na ghafla mapinduzi yakazimwa, walioshiriki wote wamesakwa jeshini na wameshakamatwa. Alifika mpaka tz huyu mtu, sijui alimwambia nn jpm lakini alitulia kimyaa baada ya msafara ule na sijui ilikuwa safari ya kheri ileee?
- Kumbe nae ana vikosi Iraq, tena nasikia wamewahi kukipiga huko na urusi.
- Alikoromeana vikali na ufaransa muda si mrefu, ugomvi ulifika hatuackubwa tu.
- Kuna jengo la kihistoria (nimelisahau jina) alilibadilisha matumizi kibabe sana. Wakubwa walipinga sana lakini hakuwasikiliza.
- Anawapatanisha Urusi na Ukraine, nasikia pia kuna vifaa vyake vimeonekana huko.
- Sasa hivi anaziwekea ngumu Finland na Sweden kujiunga na nato, sijui atafika wapi katika hili lakini ujasiri wa kulianzisha tu, si haba.
Karibuni mnaomfahamu na kuifahamu!