tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Jamaa yupo uraiani na kodi anachukuaga mwenyewe toka yuko ndichi,hana hela kwasasa ni mpigaji kama ndama au papa msofeNaskia yule mtoto wake mkubwa wa kike baba yake ni tajiri..alimwachia mapesa na bonge ya nyumba..nyumba ambayo WCB wana ofisi. Ni ya mtoto resty..nadhani anapata pesa hapo.
Sina uhakika lkn na mimi naskia tu
Ooh kumbeJamaa yupo uraiani na kodi anachukuaga mwenyewe toka yuko ndichi,hana hela kwasasa ni mpigaji kama ndama au papa msofe
Vijana wa mjiniWatu kumbe mnaelewa biashara ya huyu mtu tangu 2014 🥺
Ikila kwenu kwenye ukomo haina mbayaRufaa inaruhusiwa ila ikifika mahakama ya rufani na bado mkawekwa hatiani ndio imekula
[emoji1]lisemwalo lipo....Kama halipo.......Si huyu ndio yule mke wa yule jamaa wa ile biashara ile!
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums wireless internet
[emoji849]Na Basi Tuanzishe TeamZeze......lol...But,Seriously Nampenda Pia Shamim
[emoji1]NgadaMoja ya Celebrity mwenye mafanikio nchini
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1]Motivational speaker
Mama wa nmeanza mtaji kwa 50000 leo Nna mamilion
Mama wa empower women
Malkia wa nguvu softG
Ova
Huyu ndio mume wake alipotea akawa anamtafuta?Kuna dada mmoja pia,yuko kule Instagram anaitwa Veronica Kundya! Hua sielewi kabisa mishe zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mm nimeona kama kashtuka fulani hiviHuyu resty kwanini hajakamatwa maana anauza kitimoto ila maisha hayaendani na kipato kuna Uzi alianzishiwa naona sukuhiz kawa mpole kapunguza show off
Muuza ngada amepigwa mvua ya maisha yeye na mumewe. Usitamani maisha ya mwenzio aisee.Motivational speaker
Kumbe nyuma ya mafanikio yake kuna vijana wanapoteza uelekeo sababu ya madawa ya kulevya aliyoyauza.Moja ya Celebrity mwenye mafanikio nchini
hivi ni kweli alikuwa anaendesha Rang Rover?Muuza ngada amepigwa mvua ya maisha yeye na mumewe. Usitamani maisha ya mwenzio aisee.
Hiyo tu?hivi ni kweli alikuwa anaendesha Rang Rover?