Nipunguze na sina hata la kujidai loveUkapunguze au?? Kama kupunguza yule dadake Glam madam atakua na usaidizi mzuri.
Kuongeza Marekani ndo naonaga wanapatia.
Ukitaka kuzaliwa upya kama Posh nenda Marekani ndo utapendeza zaidi. Hawa wachina mtu unanenepa bila mpangilio.Nipunguze na sina hata la kujidai love
Nataka nizaliwe upya kama posh hii flat nishaichoka
Sawa ...ahsanteUkitaka kuzaliwa upya kama Posh nenda Marekani ndo utapendeza zaidi. Hawa wachina mtu unanenepa bila mpangilio.
Laivu bila chenga mdau nilivunja kibubu ..acha kutukoga
Hiyo sura hata kama si nzuri ila HAKUNA mwanamke wa kinyakyusa ana sura kama hiyo. NEVER.
Sikuamini hata kidogo, hao watakuwa si wanyakyusa….walikudanganya tu.
Nilijuwa tu kuwa hawezi kuwa mnyakyusa pure, wanyakyusa wana sura mgogoro sana.
Kwani Masogange alikua mbaya? Mbeya kuna watoto wazuri acha zakoNilisoma Iyunga Sec School pale Mbeya, yaani nilikuwa nalia kila nikienda mjini kwa sababu sikuwahi onana na mwanamke mzuri hata siku moja. Wanawake wazuri walikuwa walimu wetu tu na wageni.
Hahaha sureNguo tu hizo, akishazitoa michilizi utakayoiona lazima uombe chenji.
Kumbe na wewe unamsambwanda!!Wanaume wa Jf asilimia kubwa mnapenda sana wanawake wenye makalio makubwa ila akija shoga yenu mmoja kuponda wanawake wenye makalio...basi mashoga wooote mnajazana kwenye uzi wake kuwaponda wenye makalio wakati kutwa mko nasi Pm kuomba kutuona misambwanda yetu.
Mtapata tabu sana.
Hahahahaha! Hawa warembo wa Instagram ni mpunga wako tu. Utawagonga mpaka basiDah aisee unasema kweli?
Kalio kubwa is an aphrodiasic in a wayWanaume wa Jf asilimia kubwa mnapenda sana wanawake wenye makalio makubwa ila akija shoga yenu mmoja kuponda wanawake wenye makalio...basi mashoga wooote mnajazana kwenye uzi wake kuwaponda wenye makalio wakati kutwa mko nasi Pm kuomba kutuona misambwanda yetu.
Mtapata tabu sana.
Sawa ...ahsante
Nianze zichanga sasa
Ukitaka kuzaliwa upya kama Posh nenda Marekani ndo utapendeza zaidi. Hawa wachina mtu unanenepa bila mpangilio.
Nipunguze na sina hata la kujidai love
Nataka nizaliwe upya kama posh hii flat nishaichoka
Ukapunguze au?? Kama kupunguza yule dadake Glam madam atakua na usaidizi mzuri.
Kuongeza Marekani ndo naonaga wanapatia.
Watu wanapeana ushauriWapi huko nitafute pesa niende?
Eeh watu au ulijua fisi pekee ndio hupeana ushauri?Watu wanapeana ushauri
Eeh watu au ulijua fisi pekee ndio hupeana ushauri?
inapendeza kwa macho ila sie tulishaachana nayo ni kujitakia kazi wakati ile mambo stareheNguo tu hizo, akishazitoa michilizi utakayoiona lazima uombe chenji.
Laivu bila chenga mdau nilivunja kibubu ..
Hata mm
Hahahahaha! Hawa warembo wa Instagram ni mpunga wako tu. Utawagonga mpaka basi
Sawa ...ahsante
Nianze zichanga sasa
Wakati ule bado sikuwa al-watan,lecture la mike adriano lilikuwa bado halijanikaa kichwani..Dah! mkuu vipi kuhusu mtandao pendwa ulikula?
Wakati ule bado sikuwa al-watan,lecture la mike adriano lilikuwa bado halijanikaa kichwani..