Naomba kumjua huyu mlimbwende

Naomba kumjua huyu mlimbwende

Hiyo sura hata kama si nzuri ila HAKUNA mwanamke wa kinyakyusa ana sura kama hiyo. NEVER.
Sikuamini hata kidogo, hao watakuwa si wanyakyusa….walikudanganya tu.
Nilijuwa tu kuwa hawezi kuwa mnyakyusa pure, wanyakyusa wana sura mgogoro sana.
Nilisoma Iyunga Sec School pale Mbeya, yaani nilikuwa nalia kila nikienda mjini kwa sababu sikuwahi onana na mwanamke mzuri hata siku moja. Wanawake wazuri walikuwa walimu wetu tu na wageni.
Kwani Masogange alikua mbaya? Mbeya kuna watoto wazuri acha zako
 
Wanaume wa Jf asilimia kubwa mnapenda sana wanawake wenye makalio makubwa ila akija shoga yenu mmoja kuponda wanawake wenye makalio...basi mashoga wooote mnajazana kwenye uzi wake kuwaponda wenye makalio wakati kutwa mko nasi Pm kuomba kutuona misambwanda yetu.

Mtapata tabu sana.
Kumbe na wewe unamsambwanda!!
Nitakutafuta weekend
 
Wanaume wa Jf asilimia kubwa mnapenda sana wanawake wenye makalio makubwa ila akija shoga yenu mmoja kuponda wanawake wenye makalio...basi mashoga wooote mnajazana kwenye uzi wake kuwaponda wenye makalio wakati kutwa mko nasi Pm kuomba kutuona misambwanda yetu.

Mtapata tabu sana.
Kalio kubwa is an aphrodiasic in a way
 
Sawa ...ahsante

Nianze zichanga sasa
Ukitaka kuzaliwa upya kama Posh nenda Marekani ndo utapendeza zaidi. Hawa wachina mtu unanenepa bila mpangilio.
Nipunguze na sina hata la kujidai love

Nataka nizaliwe upya kama posh hii flat nishaichoka
Ukapunguze au?? Kama kupunguza yule dadake Glam madam atakua na usaidizi mzuri.
Kuongeza Marekani ndo naonaga wanapatia.
Wapi huko nitafute pesa niende?
Watu wanapeana ushauri
 
Naona tako la kawaida ila hips ndio kubwa,
anataka kua mrithi wa Masogange nini?
 
Wakati ule bado sikuwa al-watan,lecture la mike adriano lilikuwa bado halijanikaa kichwani..

emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png


Hapo ndio pakujijutia.
 
Back
Top Bottom