Naomba kumjua huyu mlimbwende

Naomba kumjua huyu mlimbwende

Dah tako kweli Halina Mpimzani. Mwanamke tako sura atajipodoa.
 
Kahojiwa juzi kasema anamiliki harrier hiyo itakuwa alikodi kwa ajili ya graduu


Nadhani huyo poshy queen anafeki maisha, (anaishi maisha yenye gharama kubwa za kifedha kuliko uwezo wake) ili apate umaarufu, hiyo harrier utakuta kakodisha, au kahongwa kwa muda tu, au gari ni ya ndugu/ au maybe wazazi wake , anadai eti pesa alizonazo si za kuhongwa, ni biashara zake anazofanya ndo zinamwingizia hela, hivi poshQueen ni mtu wa kufanya biashara ikamwingizia pesa nyingi hivyo???

Hawa watu wanakuja kuumbuka na kuonekana kumbe walikuwa maskini baadae wakishafariki, wahongaji wakikata misaada, au pale wanapougua na kuhitaji msaada wa michango Sonia G
 
Ku
Hiyo shape nzuri bwana. ila inasemekana huko nyuma hakuaga hivyo kuna kitu kimefanyika.
Kuna mahips ya dukani kuna ya upasuaji na KUNA KALIO NA HIPSI ZA KUNYWA NCHANGANYIKO WA JUIS FULANI HIVI LINAOOOTA HILOOO
 
Me mwenyewe sielewi kwanini wanahisi kafanya surgery wakati picha za zamani zinaonesha kabisa alikua mwembamba ila kishepu kilikuwepo, na sasa amekua, amenenepa, ametanuka, shepu yake imejitokeza.
Kwa sasa anamiaka 22,,, mwaka 2016 alikua na miaka 20 mwaka 2014 hyo mnayosema alikua hana, tako kubwa alikua na mika 18........kabla sijaanza kukupa maelezo nikuulize.....umesoma biology??

Kuhusu mabadiliko ya kimaumbile kwa mwanamke na mwanaume hasa katika factor ya age??? Pia kabla sijaanza kukueleza hayo mabadiliko,,,,

, kwenye hizo picha alizo simama na mama yake,,,,,,umemuona mama ake alivo!!!???

Kuhusu maswala ya maumbile katika mwili wa binadamu kuna factor ya "kirithi""..... Vp ulishawahi kuipitia kdgo kipindi upo shule.......!!!!!!??

Hapo we umeangalia tako tu kujaa,,,,,lkn umesahau kua tofauti ya hyo 2014 na sasa ni kwamba pia kanene mwili wote kwa ujumla....

Kwa kucomfirm tu ni kwamba..

Factor za kuamini kuwa hilo wowowo ni lake na ni naturally developed,,, ni nyingi, za wazi na reasonable kabisa,,,,,,lakin factor za kwamba ni wowowo la mchina hakuna hata moja zaidi mnaongea tu kwa kuhisi hisi bila ushahidi.

Nipeni namba yake kwanza huyo mrembo.
 
Mi ni mzigua mwenyeji wa Tanga,,,,,niliwahi kubahatika kuishi mbeya kwa miaka 4..........na nilikua najishughulisha na kazi za mizunguko sana........mwanzoni na mm nilikua na mawazo mgando kama yako....ila nilipoingia ndani ya ule mkoa........nilikuja kuikana hoja yangu mwenyewe.....

Kuna vyombo vikali sana kule mkuu,,,,yani vikali sanaaaa......lakn kama zilivo sehemu zingine,,,,,wabaya pia wapo ingawa ubaya wa mtu ni machoni pake...

Lakn mbeya kuna warembo sio mchezo....tena wakinyakyusa kabisaaaaaa,,,,
Wote hao, mkoa wa Mbeya hauna wanawake wazuri hata kidogo, napinga….nani anataka tubishane hili? Mi niko tayari.
 
Kwa sasa anamiaka 22,,, mwaka 2016 alikua na miaka 20 mwaka 2014 hyo mnayosema alikua hana, tako kubwa alikua na mika 18........kabla sijaanza kukupa maelezo nikuulize.....umesoma biology??

Kuhusu mabadiliko ya kimaumbile kwa mwanamke na mwanaume hasa katika factor ya age??? Pia kabla sijaanza kukueleza hayo mabadiliko,,,,

, kwenye hizo picha alizo simama na mama yake,,,,,,umemuona mama ake alivo!!!???

Kuhusu maswala ya maumbile katika mwili wa binadamu kuna factor ya "kirithi""..... Vp ulishawahi kuipitia kdgo kipindi upo shule.......!!!!!!??

Hapo we umeangalia tako tu kujaa,,,,,lkn umesahau kua tofauti ya hyo 2014 na sasa ni kwamba pia kanene mwili wote kwa ujumla....

Kwa kucomfirm tu ni kwamba..

Factor za kuamini kuwa hilo wowowo ni lake na ni naturally developed,,, ni nyingi, za wazi na reasonable kabisa,,,,,,lakin factor za kwamba ni wowowo la mchina hakuna hata moja zaidi mnaongea tu kwa kuhisi hisi bila ushahidi.

Nipeni namba yake kwanza huyo mrembo.

Khaaa mbona umeongea kimipasho namna hiyo umesoma vizuri comment yangu na kuielewa au ulikosea ku quote?
 
Daaaaah kweli nimekosea bhana,,,,nisamehe buree.....lengo langu ni mquote jamaa moja hapo aliekua anang'ang'ania kudai et hiyo ni surgery imefanyika akati kila kitu kipo wazi........sorry
Khaaa mbona umeongea kimipasho namna hiyo umesoma vizuri comment yangu na kuielewa au ulikosea ku quote?
 
Daaaaah kweli nimekosea bhana,,,,nisamehe buree.....lengo langu ni mquote jamaa moja hapo aliekua anang'ang'ania kudai et hiyo ni surgery imefanyika akati kila kitu kipo wazi........sorry
Lol, sawa haina noma japo nilishtuka duh
 
Mi ni mzigua mwenyeji wa Tanga,,,,,niliwahi kubahatika kuishi mbeya kwa miaka 4..........na nilikua najishughulisha na kazi za mizunguko sana........mwanzoni na mm nilikua na mawazo mgando kama yako....ila nilipoingia ndani ya ule mkoa........nilikuja kuikana hoja yangu mwenyewe.....

Kuna vyombo vikali sana kule mkuu,,,,yani vikali sanaaaa......lakn kama zilivo sehemu zingine,,,,,wabaya pia wapo ingawa ubaya wa mtu ni machoni pake...

Lakn mbeya kuna warembo sio mchezo....tena wakinyakyusa kabisaaaaaa,,,,


Hao uliowaona wewe si Wanyakyusa ama wana Mbeya....wazigua nyie mnafahamika kwa ulimbukeni wa mademu na wala hamjuwi wanawake wazuri mkiwaona. Nyie hata mwanamme akivaa sketi na midevu yake mnamuona mzuri, mnafahamika kwa ujinga huu.
 
Back
Top Bottom