Naomba kumjua vizuri Barbara Hassan

sauti zinadanganya sana unaweza kuuuziwa mbuzi kwenye gunia yaani zilonga mbali zitendwa mbali invesely propotion kabisa yaani mbingu na ardhi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Au kuuziwa kiwanja eneo la bahari kipindi inapokuwa imehama,
 
Ni mtangazaji mzuri ila mbwembwe zimezidi
 
Anasauti nzuri pia anajiamini sana.. Huwa hateteleki katika kazi yake nampenda kwa hilo.. Bt japo huwa kama ana ka kejeri kwa mbaaaali sana japo sio issue sana.. Shez gud mtangazaji..
 
Original yake ni mkenya wa Mombasa, kasomea huko ndiyo maana lugha anaijua jina lake ni Amina Hassan kabla ya kubadili dini na kuitwa Barbara
 
Kwanza anaitwa Babra Hassan sio Barbara.

Kwa mtazamo wangu kwa muda ambao nimekuwa namsikiliza napata picha ya mtu anayejali sana tabaka fulani la Watu na kupuuza jamii ya watu wa chini a.k.a Watu wa kawaida....ukisikia reference zake nyingi zinatia ukakasi....binafsi sivutiwi saaana na ujivuni wa hivyo....ana mengi ya kujifunza kutoka kwa kina Masood.....B twelve, Dahuu.

Kuhusu elimu...inategemea na mtazamo wako kwani kwa Wabongo Mtu ukijua kuongea kiingereza tu basi, utaonekana una hadhi ya kupelekwa USA ukarushe Rocket....ila kwa muda ambao nimekuwa namsikiliza namuona ni fundi wa kujibu maswali kama 'baby shower ni nini?' nje ya hapo ukamuuliza swali technical kidogo basi uwe na namba za flying doctors....coz atazima papo hapo.
 
Anasmag yyeye mchaga wa kule kwa kina fredy wawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…