Mkulima Wa leo
Member
- Nov 9, 2019
- 11
- 11
Wanajamii Niko mikoa ya nyanda za juu kusini.
Nashukuru sana kwa watu wanaochangia elimu kwa jamii kupitia jukwaa hili. Ninalo shamba ambalo sijaliendeleza ekari NNE. Ninapenda kufanya kilimo cha tija. Naomba kwa ambaye ana uzoefu Wa green house na gharama zake anisaidie
Nashukuru sana kwa watu wanaochangia elimu kwa jamii kupitia jukwaa hili. Ninalo shamba ambalo sijaliendeleza ekari NNE. Ninapenda kufanya kilimo cha tija. Naomba kwa ambaye ana uzoefu Wa green house na gharama zake anisaidie