Naomba kupata mwenyeji wa Tunduma

Naomba kupata mwenyeji wa Tunduma

Airmanula

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2016
Posts
3,527
Reaction score
5,762
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba kupata mwenyeji wa Tunduma, kuna taarifa nafuatilia ningependa kupata msaada wa majibu yake.

Natanguliza shukrani.
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba kupata mwenyeji wa Tunduma, kuna taarifa nafuatilia ningependa kupata msaada wa majibu yake.

Natanguliza shukrani.
Unasemaje mkuu lete habari
 
Kama unatafuta dawa ya utajiri sema. Tutakupeleka hadi Kasumbalesa. Ila jiandae kumtoa mama yako au dada yako kafara
 
Back
Top Bottom