Naomba kupewa elimu kuhusu tatizo la ingrown nails

Naomba kupewa elimu kuhusu tatizo la ingrown nails

Tatizo:

Ni pale ukucha unapoingia kwenye upande wa nyama au ngozi ya kidole husika.

Visababishi:

1: Ukataji mbaya wa kucha
2: Ukataji usiofaa wa kona za kucha
3: Ajali inayohusisha kucha
4: Viatu vinavyobana(kwa muguu).
5: Maumbile yasiyovyema ya kucha

Tiba:

Hutegemea na kiasi cha tatizo
1: Kuondoa nusu au sehemu ya ukucha
2: Kuondoa ukucha mzima
3: Kutumia antibiotics kabla au baada ya upasuaji kulingana na hali halisi
4: Kuzuia visababishi hapo juu kwa vinavyoepukika

NB: Uondoaji ukucha huusisha kupewa dawa ya ganzi/usisikie maumivu.
Ongezea hapa vifaa vya kukatia kucha hasa nyembe huwa na bacteria wabaya wa kuharibu ngozi ya kucha
Sterilize your nail cutter and other tools na utumie peke yako

Kwa tatizo la muhusika inabidi wakazitoe hizo kucha wampake dawa na azingatie usafi atapona na zitaota upya
 
Una vidole visafi na kucha zake..usafi wa mtu huanzia kwenye kucha
Thank you. Kwa mtu anaekua na kucha za hivi lazima ajitahidi sana kuwa msafi maana ukizisahau unaeza kupata infection mbaya sana
 
Back
Top Bottom