Naomba kusaidiwa kuhusu biashara ya usafi majumbani na maofisini

Naomba kusaidiwa kuhusu biashara ya usafi majumbani na maofisini

Bugeni

Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
14
Reaction score
36
Habari ndugu zangu,

Mimi ni kijana(25) wa kiume niko Dar es Salaam, katika kutafta kazi baada ya kumaliza chuo( miezi 4 mtaani) mwaka huu mambo yamekuwa magumu nilipga kazi mbalimbali kama ujenzi, kulima, kubeba mizigo Kariakoo ila pesa ni kidogo kiasi kwamba kodi ikifika ya nyumba huna cha kulipa

Nimewaza nijiwekee malengo ya kufungua kampuni la usafi hapo baadaye, ila kwa Sasa sina hata shilingi ya kuanzia. Nataka nipate muongozo nianzie wapi nifikie lengo ama km kuna idea nyingne ya biashara ama kazi nisaidiwe.
 
Habari ndugu zangu,

Mimi ni kijana(25) wa kiume niko Dar es Salaam, katika kutafta kazi baada ya kumaliza chuo( miezi 4 mtaani) mwaka huu mambo yamekuwa magumu nilipga kazi mbalimbali kama ujenzi, kulima, kubeba mizigo Kariakoo ila pesa ni kidogo kiasi kwamba kodi ikifika ya nyumba huna cha kulipa

Nimewaza nijiwekee malengo ya kufungua kampuni la usafi hapo baadaye, ila kwa Sasa sina hata shilingi ya kuanzia. Nataka nipate muongozo nianzie wapi nifikie lengo ama km kuna idea nyingne ya biashara ama kazi nisaidiwe.
Naomba unitumie ujumbe nitakusaidia jinsi ya kuanza
 
Back
Top Bottom