Naomba kushauriwa, kukosolewa, na kuelekezwa

Naomba kushauriwa, kukosolewa, na kuelekezwa

Tanzania hii kila mtu anauchukia ufisadi Ila wengi makazini hadi kwenye biashara ni mafisadi.

Ndio mfumo uliopo, aidha ule vya haramu na utusue faster au uende njia ya haki na ukawie kufika au ufe na maisha ya kawaida au maskini kabisaa.

Wanayokuambia ukitoa la pombe ndio uhalisia wa makazini,

Wengi tumeubatiza wizi kwa jina la "deals" na wewe ulivyojiweka kikatekista wanaona sio mtu wa kumuamini ndio maana wanakutenga.

Yawezekana unalo tatizo Ila tatizo kubwa zaidi lipo kwenye mfumo mzima maana umeoza.

Cha kukushauri,

Moja FANYA LINALOWEZEKANA KUENDANA NA MFUMO.

pili, Kubali gharama za kuenda tofauti ikiwemo kujiumiza ili utengeneze hiyo njia unayoiona bora maana biashara unayoipenda inafanywa, haiotwi au kubakia kama sehemu ya interest sunavyochukuli zako kama unavyochukulia.

Tatu, tafuta kazi kwenye multinationals au sehemu zilizopo strictly proffessional haswa organizations au private companies zinazoongozwa na wazungu maana huwa zimenyooka kimfumo. Ila hapa unatakiwa kuwa mtu compitent maana hakuna janja janja la sivyo utaondolewa
 
Tanzania hii kila mtu anauchukia ufisadi Ila wengi makazini hadi kwenye biashara ni mafisadi.

Ndio mfumo uliopo, aidha ule vya haramu na utusue faster au uende njia ya haki na ukawie kufika au ufe na maisha ya kawaida au maskini kabisaa.

Wanayokuambia ukitoa la pombe ndio uhalisia wa makazini,

Wengi tumeubatiza wizi kwa jina la "deals" na wewe ulivyojiweka kikatekista wanaona sio mtu wa kumuamini ndio maana wanakutenga.

Yawezekana unalo tatizo Ila tatizo kubwa zaidi lipo kwenye mfumo mzima maana umeoza.

Cha kukushauri,

Moja FANYA LINALOWEZEKANA KUENDANA NA MFUMO.

pili, Kubali gharama za kuenda tofauti ikiwemo kujiumiza ili utengeneze hiyo njia unayoiona bora maana biashara unayoipenda inafanywa, haiotwi au kubakia kama sehemu ya interest sunavyochukuli zako kama unavyochukulia.

Tatu, tafuta kazi kwenye multinationals au sehemu zilizopo strictly proffessional haswa organizations au private companies zinazoongozwa na wazungu maana huwa zimenyooka kimfumo. Ila hapa unatakiwa kuwa mtu compitent maana hakuna janja janja la sivyo utaondolewa
suala la kujituma Mimi 💯, Shida ni kazi ambayo Ile utayopewa na ukajituma haiwezi kukupatia chochote Bila wewe kutengeneza mazingira kandamizi Kwa unaemshughulikia, sasa Mimi naamini katika nafsi yangu kwamba nitakachokitafuta Kwa jasho langu kitanijenga kiakili kuliko ninachosubiri/tegemezi Kwa mtu ninayemnyima haki yake.
 
suala la kujituma Mimi 💯, Shida ni kazi ambayo Ile utayopewa na ukajituma haiwezi kukupatia chochote Bila wewe kutengeneza mazingira kandamizi Kwa unaemshughulikia, sasa Mimi naamini katika nafsi yangu kwamba nitakachokitafuta Kwa jasho langu kitanijenga kiakili kuliko ninachosubiri/tegemezi Kwa mtu ninayemnyima haki yake.
Nakuelewa mkuu ndio maana nikakuambia kuwa yawezekana tatizo ni mfumo wa hapo ulipo..

Na kama kusemwa tu kunakusumbua sidhani kama unaweza kuanzisha harakati sehemu ulipo na kama unaona sehemu uliopo haioni thamani yako bila kwenda kinyume na dhamira yako. Then tafuta sehemu nyingine kama hizo nilizosema

Ila ukibakia kwenye mifumo kama ya serikali ambayo performance haiangaliwi sana kiasi mtu anaweza pandishwa cheo kwa kuongeza elimu. Lazma utaendelea kuwa depressed na kushuka sana hivyo, Tafuta system itakayotambua thamani yako na kukulipa accordingly Ila usiache sehemu moja kabla hujapata nyingine mkuu maana una familia..

All the best 🙏🏽🙏🏽
 
Mambo yote wanayokushauri ufanye hayana tija na hayafai. Fata moyo wako na ubakia kwenye msimamo wako. Pesa au utajiri sio furaha ya maisha hasa ukiwa unezipata kwa njia ya dhuluma.
 
Mimi naweza sana kujituma kufanya, Shida Ni kwamba Kazi yangu inatoa Fulsa ya kupata pesa za r*****sh sasa Mimi nina huruma na hutu na napenda haki hapo ndipo naitaji ushauri nibadike au niendelee na moyo huu Kwa kuamini nitapata Baraka za mungu.
Usiige mtu.
kama nafsi inakataa usilazimishe utaishia pabaya.
Binafsi siwezi kukaa sehemu ya rushwa itanishinda.
 
Mkuu mi nashauri za kuambiwa changanya na zako

Fanya kazi ya halali pata malipo ya halali, hata hizo kazi wanazosema zina hela kama za halali fanya then lipwa, usimuibie mtu wala usimkandamize mtu utaishia kubaya

Weka uhusiano mzuri na watu sio lazima kua attached nao ila kua na uhusiano mzuri epuka ugomvi

Kubwa kuliko MUNGU huwalipa watu wema tenda wema na kua muadilifu siku zote
Kuna deals smart watu wanafanya ukiwa mtu wa principal sana unaonekana KINEGA..

Ishi na watu vizuri
 
Back
Top Bottom