Naomba kuteuliwa nafasi ya Ukuu wa Wilaya ya Longido

Naomba kuteuliwa nafasi ya Ukuu wa Wilaya ya Longido

dr namugari

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
10,466
Reaction score
18,206
Mm ni mtanzania, mzalendo, mwenye uwezo usiotiliwa mashaka nina elimu ya shahada ya uhandisi wa mitambo,ni mwana ccm toka mwaka 2008 hadi sasa, ni mtiifu, mwaminifu, mwadilifu

Naomba kuteuliwa kushika nafsi ya ukuu wa wilaya ya longido kufatia alikuwepo kuondoshwa hvyo natumia fursa hii kumuomba Rais wa jamuhur ya muungano Tanzania Dkt. Samia suluhu Hassan kuniteuwa kushika nafsi hyo ilio wasi hivi sasa,namuhikishia sinto muangusha na nitatumia mbinu zangu, elimu yangu, uwezo wangu wote kuunganisha wananchi na kuwafaNya wanainch waipende serekali yako unayo I endesha kwa ufanisi mkubwa, na kwa uwazi mkubwa

Naomba unifikirie hata niko tayari kufanyiwa vetting na vijna wako wajiridhishe juu ya uadilifu wangu na uaminifu nahaidi kutunza siri zote za wilaya na za serekali bila twashishwi, niko tayari muda wote kutumwa popote, kuelekezwa jambo lolote na wakubwa zangu ili kuwatumikia watanzania wenzangu. Mama Naomba uteuzi

Kwa sssa niko ddoma chamwino Jirani kbsa na majengo ya serekali
 
Mm ni mtanzania, mzalendo, mwenye uwezo usiotiliwa mashaka nina elimu ya shahada ya uhandisi wa mitambo,ni mwana ccm toka mwaka 2008 hadi sasa, ni mtiifu, mwaminifu, mwadilifu

Naomba kuteuliwa kushika nafsi ya ukuu wa wilaya ya longido kufatia alikuwepo kuondoshwa hvyo natumia fursa hii kumuomba Rais wa jamuhur ya muungano Tanzania Dkt. Samia suluhu Hassan kuniteuwa kushika nafsi hyo ilio wasi hivi sasa,namuhikishia sinto muangusha na nitatumia mbinu zangu kuunganisha wananchi na kuwafaNya wanainch waipende serekali yako unayo I endesha kwa ufanisi mkubwa, na kwa uwazi mkubwa

Naomba unifikirie hata niko tayari kufanyiwa vetting na vijna wako wajiridhishe juu ya uadilifu wangu na uaminifu nahaidi kutunza siri zote za wilaya na za serekali bila twashishwi, niko tayari muda wote kutumwa popote, kuelekezwa jambo lolote na wakubwa zangu ili kuwatumikia watanzania wenzangu. Mama Naomba uteuzi

Kwa sssa niko ddoma chamwino Jirani kbsa na majengo ya serekali
Lucas Mwashambwa hata kufikiriwa tu hajawahi ndio sembuse wewe?
 
Mhandisi wa Mitambo kabisa course ngumu kama hiyo unakuwa chawa na kubembeleza uteuzi....
Kwani kina nani wanafaa kuteuliwa, mm nina kaz niko Temesa siyo kwamba nina shida na ajira ila natamani kuteuliwa kuwatumikia wa Tanzania kweny nafsi za kiuongozi
 
Mkuu naomba upitie tena bandiko lako huu mwandiko sio wa mtu aliyemaliza form four achilia mbali chuo.

Nilijua labda ni typing errors kumbe ndiyo umekusudia kuandika hivyo hivyo ukiamini upo sahihi.

Lakini kwakuwa nafasi ya DC ni ya mtu yeyote kikubwa ajue kusoma na kuandika tu.
 
Mkuu naomba upitie tena bandiko lako huu mwandiko sio wa mtu aliyemaliza form four achilia mbali chuo.

Nilijua labda ni typing errors kumbe ndiyo umekusudia kuandika hivyo hivyo ukiamini upo sahihi.

Lakini kwakuwa nafasi ya DC ni ya mtu yeyote kikubwa ajue kusoma na kuandika tu.
Kama wewe una uwezo wa kuwa Dc basi omba nafsi hyo kwa vile unajuwa kuumba mwandiko na ni mahiri ktk fani yako ya lagha ya kiswahili
 
Back
Top Bottom