Naomba kuteuliwa nafasi ya Ukuu wa Wilaya ya Longido

Naomba kuteuliwa nafasi ya Ukuu wa Wilaya ya Longido

D
Mm ni mtanzania, mzalendo, mwenye uwezo usiotiliwa mashaka nina elimu ya shahada ya uhandisi wa mitambo,ni mwana ccm toka mwaka 2008 hadi sasa, ni mtiifu, mwaminifu, mwadilifu

Naomba kuteuliwa kushika nafsi ya ukuu wa wilaya ya longido kufatia alikuwepo kuondoshwa hvyo natumia fursa hii kumuomba Rais wa jamuhur ya muungano Tanzania Dkt. Samia suluhu Hassan kuniteuwa kushika nafsi hyo ilio wasi hivi sasa,namuhikishia sinto muangusha na nitatumia mbinu zangu, elimu yangu, uwezo wangu wote kuunganisha wananchi na kuwafaNya wanainch waipende serekali yako unayo I endesha kwa ufanisi mkubwa, na kwa uwazi mkubwa

Naomba unifikirie hata niko tayari kufanyiwa vetting na vijna wako wajiridhishe juu ya uadilifu wangu na uaminifu nahaidi kutunza siri zote za wilaya na za serekali bila twashishwi, niko tayari muda wote kutumwa popote, kuelekezwa jambo lolote na wakubwa zangu ili kuwatumikia watanzania wenzangu. Mama Naomba uteuzi

Kwa sssa niko ddoma chamwino Jirani kbsa na majengo ya serekali
Dr. Kwani wewe ni mwanachama wa kile chama ?
 
Mm ni mtanzania, mzalendo, mwenye uwezo usiotiliwa mashaka nina elimu ya shahada ya uhandisi wa mitambo,ni mwana ccm toka mwaka 2008 hadi sasa, ni mtiifu, mwaminifu, mwadilifu

Naomba kuteuliwa kushika nafsi ya ukuu wa wilaya ya longido kufatia alikuwepo kuondoshwa hvyo natumia fursa hii kumuomba Rais wa jamuhur ya muungano Tanzania Dkt. Samia suluhu Hassan kuniteuwa kushika nafsi hyo ilio wasi hivi sasa,namuhikishia sinto muangusha na nitatumia mbinu zangu, elimu yangu, uwezo wangu wote kuunganisha wananchi na kuwafaNya wanainch waipende serekali yako unayo I endesha kwa ufanisi mkubwa, na kwa uwazi mkubwa

Naomba unifikirie hata niko tayari kufanyiwa vetting na vijna wako wajiridhishe juu ya uadilifu wangu na uaminifu nahaidi kutunza siri zote za wilaya na za serekali bila twashishwi, niko tayari muda wote kutumwa popote, kuelekezwa jambo lolote na wakubwa zangu ili kuwatumikia watanzania wenzangu. Mama Naomba uteuzi

Kwa sssa niko ddoma chamwino Jirani kbsa na majengo ya serekali
Weka namba yako
 
Bila kuwa kwenye list ya wanachama kindaki ndaki wa CCM - sahau.

Hizo positions zimeshageuka za wanasiasa waliokulia UVCCM.
 
Upo Dodoma!!! Unahudhuria klinik ya vichaaa!?? Maana inaonesha njaa imejikita kichwani Sasa inatoka ikaleta uchizi!! Jiajiri kama CCM wanavyosema!??
 
Upo Dodoma!!! Unahudhuria klinik ya vichaaa!?? Maana inaonesha njaa imejikita kichwani Sasa inatoka ikaleta uchizi!! Jiajiri kama CCM wanavyosema!??
Acha kumdhalilisha Mhandisi wa Mitambo, hunijui vzr na sikujuwa vzr Acha zarau
 
Naomba kuteuliwa kushika nafsi ya ukuu wa wilaya ya longido kufatia alikuwepo kuondoshwa hvyo natumia fursa hii kumuomba Rais wa jamuhur ya muungano Tanzania Dkt. Samia suluhu Hassan kuniteuwa kushika nafsi hyo ilio wasi hivi sasa,namuhikishia sinto muangusha na nitatumia mbinu zangu, elimu yangu, uwezo wangu wote kuunganisha wananchi na kuwafaNya wanainch waipende serekali yako unayo I endesha kwa ufanisi mkubwa, na kwa uwazi mkubwa
Tumekusikia, je tukikupa ukuu utayatumiaje mapori yaliyopo?
 
Tumekusikia, je tukikupa ukuu utayatumiaje mapori yaliyopo?
pmapori tengeru yapo kwa mujibu ya sheria ya uifadhi, ila mm nitayatumia kama sehemu ya kuendesha mpango ya carbon na wale mijitu. Ma jeuri yote wataletwa huku
 
Mm ni mtanzania, mzalendo, mwenye uwezo usiotiliwa mashaka nina elimu ya shahada ya uhandisi wa mitambo,ni mwana ccm toka mwaka 2008 hadi sasa, ni mtiifu, mwaminifu, mwadilifu

Naomba kuteuliwa kushika nafsi ya ukuu wa wilaya ya longido kufatia alikuwepo kuondoshwa hvyo natumia fursa hii kumuomba Rais wa jamuhur ya muungano Tanzania Dkt. Samia suluhu Hassan kuniteuwa kushika nafsi hyo ilio wasi hivi sasa,namuhikishia sinto muangusha na nitatumia mbinu zangu, elimu yangu, uwezo wangu wote kuunganisha wananchi na kuwafaNya wanainch waipende serekali yako unayo I endesha kwa ufanisi mkubwa, na kwa uwazi mkubwa

Naomba unifikirie hata niko tayari kufanyiwa vetting na vijna wako wajiridhishe juu ya uadilifu wangu na uaminifu nahaidi kutunza siri zote za wilaya na za serekali bila twashishwi, niko tayari muda wote kutumwa popote, kuelekezwa jambo lolote na wakubwa zangu ili kuwatumikia watanzania wenzangu. Mama Naomba uteuzi

Kwa sssa niko ddoma chamwino Jirani kbsa na majengo ya serekali
Mimi napendekeza uwe mgombea urais kupitia chama cha mapinduzi, baada ya jina la samia hassan kupigwa chini.
 
Mm ni mtanzania, mzalendo, mwenye uwezo usiotiliwa mashaka nina elimu ya shahada ya uhandisi wa mitambo,ni mwana ccm toka mwaka 2008 hadi sasa, ni mtiifu, mwaminifu, mwadilifu

Naomba kuteuliwa kushika nafsi ya ukuu wa wilaya ya longido kufatia alikuwepo kuondoshwa hvyo natumia fursa hii kumuomba Rais wa jamuhur ya muungano Tanzania Dkt. Samia suluhu Hassan kuniteuwa kushika nafsi hyo ilio wasi hivi sasa,namuhikishia sinto muangusha na nitatumia mbinu zangu, elimu yangu, uwezo wangu wote kuunganisha wananchi na kuwafaNya wanainch waipende serekali yako unayo I endesha kwa ufanisi mkubwa, na kwa uwazi mkubwa

Naomba unifikirie hata niko tayari kufanyiwa vetting na vijna wako wajiridhishe juu ya uadilifu wangu na uaminifu nahaidi kutunza siri zote za wilaya na za serekali bila twashishwi, niko tayari muda wote kutumwa popote, kuelekezwa jambo lolote na wakubwa zangu ili kuwatumikia watanzania wenzangu. Mama Naomba uteuzi

Kwa sssa niko ddoma chamwino Jirani kbsa na majengo ya serekali
Ajira zilishakuwa jau,bora ubunifu wa namna hii,shida ya ajira lazima iishe.
 
Back
Top Bottom