Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Hata mimi nimeshangaa ๐๐๐Lucas Mwashambwa hata kufikiriwa tu hajawahi ndio sembuse wewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi nimeshangaa ๐๐๐Lucas Mwashambwa hata kufikiriwa tu hajawahi ndio sembuse wewe?
Mh, Huyo bwana hana nia ya kuongoza anazo ajenda za kujinufaisha zaidi au hufuatilii mtifuano wao 'MamaLa'Mkuu,lengo la uongozi sio kupata hela tu bali ni kuwatumikia wananchi,
Ndio maana hata tajiri Trump anagombea tena urais wa US.
Kumbe ulikuwa una piga debe uteuliwe basi umekozea snaHata mimi nimeshangaa ๐๐๐
Kwani wapi hapo nimesema bapiga debe kuteuliwa. Utapata shida sana kunielewa maandishi yangu ikiwa akili yako ndogo na huna mlango wa sitaKumbe ulikuwa una piga debe uteuliwe basi umekozea sna
Mm ni mtanzania, mzalendo, mwenye uwezo usiotiliwa mashaka nina elimu ya shahada ya uhandisi wa mitambo,ni mwana ccm toka mwaka 2008 hadi sasa, ni mtiifu, mwaminifu, mwadilifu
Naomba kuteuliwa kushika nafsi ya ukuu wa wilaya ya longido kufatia alikuwepo kuondoshwa hvyo natumia fursa hii kumuomba Rais wa jamuhur ya muungano Tanzania Dkt. Samia suluhu Hassan kuniteuwa kushika nafsi hyo ilio wasi hivi sasa,namuhikishia sinto muangusha na nitatumia mbinu zangu, elimu yangu, uwezo wangu wote kuunganisha wananchi na kuwafaNya wanainch waipende serekali yako unayo I endesha kwa ufanisi mkubwa, na kwa uwazi mkubwa
Naomba unifikirie hata niko tayari kufanyiwa vetting na vijna wako wajiridhishe juu ya uadilifu wangu na uaminifu nahaidi kutunza siri zote za wilaya na za serekali bila twashishwi, niko tayari muda wote kutumwa popote, kuelekezwa jambo lolote na wakubwa zangu ili kuwatumikia watanzania wenzangu. Mama Naomba uteuzi
Kwa sssa niko ddoma chamwino Jirani kbsa na majengo ya serekali
Mkuu usikasirike maana kama kweli unahitaji kazi hii basi vetting inahusisha mambo mengi ikiwemo uwezo mzuri wa kupangilia maandishi.Kama wewe una uwezo wa kuwa Dc basi omba nafsi hyo kwa vile unajuwa kuumba mwandiko na ni mahiri ktk fani yako ya lagha ya kiswahili
Mkishalewa madaraka ya kulevya mnaanza kuropoka siri za serikali na Chama cha CcmMm ni mtanzania, mzalendo, mwenye uwezo usiotiliwa mashaka nina elimu ya shahada ya uhandisi wa mitambo,ni mwana ccm toka mwaka 2008 hadi sasa, ni mtiifu, mwaminifu, mwadilifu
Naomba kuteuliwa kushika nafsi ya ukuu wa wilaya ya longido kufatia alikuwepo kuondoshwa hvyo natumia fursa hii kumuomba Rais wa jamuhur ya muungano Tanzania Dkt. Samia suluhu Hassan kuniteuwa kushika nafsi hyo ilio wasi hivi sasa,namuhikishia sinto muangusha na nitatumia mbinu zangu, elimu yangu, uwezo wangu wote kuunganisha wananchi na kuwafaNya wanainch waipende serekali yako unayo I endesha kwa ufanisi mkubwa, na kwa uwazi mkubwa
Naomba unifikirie hata niko tayari kufanyiwa vetting na vijna wako wajiridhishe juu ya uadilifu wangu na uaminifu nahaidi kutunza siri zote za wilaya na za serekali bila twashishwi, niko tayari muda wote kutumwa popote, kuelekezwa jambo lolote na wakubwa zangu ili kuwatumikia watanzania wenzangu. Mama Naomba uteuzi
Kwa sssa niko ddoma chamwino Jirani kbsa na majengo ya serekali
Mm ni zaid yake yaani anikuti kwa ukatiliDC wa longido alikuwa siyo muoga ,je na wewe ni Muoga? Utaweza kufanya Mambo ya maporini?
Njoo dm mkuuMajina yako kamili na namba ya simu
Sahihsh bas nilikosea wapiMkuu usikasirike maana kama kweli unahitaji kazi hii basi vetting inahusisha mambo mengi ikiwemo uwezo mzuri wa kupangilia maandishi.
Kumbuka unaweza kuhitajika kuandika barua ya kikazi kwenda ofisi ya juu yako sasa kama uandishi utakuwa una shida mahali watu wataanza ku criticise uwezo wako wa kuongoza.
Ndio mam yuko hukuAisee!
Unategemea connection ya jf
Mm mzalendo mkuuMzalendo gani umeweka profile ya Bosco Ntaganda ๐ ๐คฃ ๐ we ni Banyamulenge
Endelea na u engineer kuwa dc na kutumia elimu yako vibaya taifa linahitaji mafundi mitambo kuliko ma DCMm mzalendo mkuu
Nimechokaa kutengeneza vivukoEndelea na u engineer kuwa dc na kutumia elimu yako vibaya taifa linahitaji mafundi mitambo kuliko ma DC
Dr. Kwani wewe ni mwanachama wa kile chama ?Mm ni mtanzania, mzalendo, mwenye uwezo usiotiliwa mashaka nina elimu ya shahada ya uhandisi wa mitambo,ni mwana ccm toka mwaka 2008 hadi sasa, ni mtiifu, mwaminifu, mwadilifu
Naomba kuteuliwa kushika nafsi ya ukuu wa wilaya ya longido kufatia alikuwepo kuondoshwa hvyo natumia fursa hii kumuomba Rais wa jamuhur ya muungano Tanzania Dkt. Samia suluhu Hassan kuniteuwa kushika nafsi hyo ilio wasi hivi sasa,namuhikishia sinto muangusha na nitatumia mbinu zangu, elimu yangu, uwezo wangu wote kuunganisha wananchi na kuwafaNya wanainch waipende serekali yako unayo I endesha kwa ufanisi mkubwa, na kwa uwazi mkubwa
Naomba unifikirie hata niko tayari kufanyiwa vetting na vijna wako wajiridhishe juu ya uadilifu wangu na uaminifu nahaidi kutunza siri zote za wilaya na za serekali bila twashishwi, niko tayari muda wote kutumwa popote, kuelekezwa jambo lolote na wakubwa zangu ili kuwatumikia watanzania wenzangu. Mama Naomba uteuzi
Kwa sssa niko ddoma chamwino Jirani kbsa na majengo ya serekali