Naomba kuteuliwa nafasi ya Ukuu wa Wilaya ya Longido


DC wa longido alikuwa siyo muoga ,je na wewe ni Muoga? Utaweza kufanya Mambo ya maporini?
 
Kama wewe una uwezo wa kuwa Dc basi omba nafsi hyo kwa vile unajuwa kuumba mwandiko na ni mahiri ktk fani yako ya lagha ya kiswahili
Mkuu usikasirike maana kama kweli unahitaji kazi hii basi vetting inahusisha mambo mengi ikiwemo uwezo mzuri wa kupangilia maandishi.

Kumbuka unaweza kuhitajika kuandika barua ya kikazi kwenda ofisi ya juu yako sasa kama uandishi utakuwa una shida mahali watu wataanza ku criticise uwezo wako wa kuongoza.
 
Mkishalewa madaraka ya kulevya mnaanza kuropoka siri za serikali na Chama cha Ccm
 
Sahihsh bas nilikosea wapi
 
Mzalendo gani umeweka profile ya Bosco Ntaganda πŸ˜„ 🀣 πŸ˜‚ we ni Banyamulenge
 
D
Dr. Kwani wewe ni mwanachama wa kile chama ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…