Naomba kuuliza, Hii Speed ya Internet ni nzuri?

Naomba kuuliza, Hii Speed ya Internet ni nzuri?

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Wataalam.

Ninatumia hii router ya Airtel 5G, sasa kwa hapa nyumbani nikirun test inanipa hizi download na upload speed:

Screenshot_20240715-011650.png


Je, ni speed nzuri? Nimelipia ile ya Elfu 70. Nikirun speed uwa inakuja 10Mbps hadi 15Mbps.

Kwa YouTube 720p kwenye TV inaenda vizuri, buffering mara chache especially nikionganisha device nyingi.

Juzi juzi nimetoa password ikawa open majirani wakajiunga kama wanne nikaona sio mbaya ila nikaona speed imeshuka sana ata YouTube ikawa inaganda ata nilivoshusha 480p. Ikabisi nipunguze idadi ya wanaojiunga hadi 3 maximum kidogo inaenda.
 
Kwa tanzania yetu iyo ni speed kali nakumbuka kipindi kile i i use sasatel it was not even half of that wewe peruzi tu
 
Spidi nzuri ni ile inayokufaa kwa matumizi yako kama 720 inatosha kwa mayumizi basi spidi inakufaa, mkianza kutumia wengi inakuwa tatizo maana mnagawana hizo Mbps, 15Mbps inatakiwa itoshe kwa youtube hadi 1080p.

Kuna tatizo kwenye hivi vipimo kama unaona hapo inatumia server za Kenya kupima spidi lakini server za YT hazipo Kenya so kipimo kinaweza kutofautiana na uhalisi kutegemea na website unayotumia.
 
Kwa 5g huo ni uongo aisee, ila speed ya internet inategemea na matumizi yako.

Anyway, kwahy mkuu umesema watu wanne wamejiunga kwenye hy wifi afu ikaanza kuwa slow 😂
 
Kuna tatizo kwenye hivi vipimo kama unaona hapo inatumia server za Kenya kupima spidi lakini server za YT hazipo Kenya so kipimo kinaweza kutofautiana na uhalisi kutegemea na website unayotumia.
Mkuu, mbona ht mm nikitest speed kwa kutumia wifi ya ofisi au ht kwa mtandao wangu zote zinaniandikia Nairobi
 
Mkuu, mbona ht mm nikitest speed kwa kutumia wifi ya ofisi au ht kwa mtandao wangu zote zinaniandikia Nairobi
Kwa kuwa hiyo site unayotumia kufanya test server zao ziko nairobi, ukitumia fast.com (Netflix) au speedtest.net unaweza kupata server tofauti lakini hata hizi isp wanazichezea wanakupa spidi kubwa ukiwa unafanya test tofauti na spidi ya kila siku.
 
Wataalam.

Ninatumia hii router ya Airtel 5G, sasa kwa hapa nyumbani nikirun test inanipa hizi download na upload speed:

View attachment 3042594

Je, ni speed nzuri? Nimelipia ile ya Elfu 70. Nikirun speed uwa inakuja 10Mbps hadi 15Mbps.

Kwa YouTube 720p kwenye TV inaenda vizuri, buffering mara chache especially nikionganisha device nyingi.

Juzi juzi nimetoa password ikawa open majirani wakajiunga kama wanne nikaona sio mbaya ila nikaona speed imeshuka sana ata YouTube ikawa inaganda ata nilivoshusha 480p. Ikabisi nipunguze idadi ya wanaojiunga hadi 3 maximum kidogo inaenda.
nimependa latency yake iko vizuri sana
 
Wataalam.

Ninatumia hii router ya Airtel 5G, sasa kwa hapa nyumbani nikirun test inanipa hizi download na upload speed:

View attachment 3042594

Je, ni speed nzuri? Nimelipia ile ya Elfu 70. Nikirun speed uwa inakuja 10Mbps hadi 15Mbps.

Kwa YouTube 720p kwenye TV inaenda vizuri, buffering mara chache especially nikionganisha device nyingi.

Juzi juzi nimetoa password ikawa open majirani wakajiunga kama wanne nikaona sio mbaya ila nikaona speed imeshuka sana ata YouTube ikawa inaganda ata nilivoshusha 480p. Ikabisi nipunguze idadi ya wanaojiunga hadi 3 maximum kidogo inaenda.
Mkuu umeandika ni ile ya 70,000 na speed wanadai ni 10mbps mbona hapo ni 15mbps🥴🥴🥴
 
Back
Top Bottom