Ungekuwa unajua mwalimu wa digrii analipwa mshahara na posho shiling ngapi ukilinganisha na mtumishi wa kada yoyote mwenye cheti au diploma wa Tanesco, nic, nhif, MNH, NHC, NSSF,LAPF, na mashirika mengine usingekuja kuandika huu uzi
pengine ungeshikwa na tumbo la kuhara afu ndo ukaja kuandika. Maana anachokipata mwalimu kwenye mshahara na posho hakifiki robo kwa anachopata mlinzi mwenye cheti cha fomu 4 kwenye taasis kama izo