kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Mnazi mmoja ule mtaa wa narung'ombeWapi nitapata ma Belo grad A.
Nguo za watoto
Kadeti
Mixser
Mitandio
Track?
Mnazi mmojahivi mkuu wale wanaouza viatu vya mtumba karume asubuhi mabalo wananua wapi
Hapana mkuu kama unaona navutia wateja niwauzie nitafutie intern unikomoe. Nlishaachaga biashara hiyo muda marefu. Nimeacha legacy pale na hao watu mm ndug zangu tu. Pia unawez enda mwenyew bila kumuulizia yeyote. Karibu tujadili hapahapaNamba 7 na namba 11 hatarisana
mpira unapelekwa kwa namba 9 na goli lifungwe [emoji23][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Hapa unamaanisha pale ilala sokoni right?Kadeti zinapatikana mkuu. Nenda ilala boma asubuhi Kati ya saa 1 mpaka 5 utapata. Kama unaweza kusimama kwenye mnada kugombea Kwa kupandisha dau. Au unaweza kufika sehem moja maarufu hapo panaitwa "Ashanti". Ukifikishwa Ashanti Muulizie mtu anaitwa Muba au Ostadhi SELE. Hawa watu wawili wambie umepewa address na MJOMBA. Hao watakuuzia lakini elf 5 Kwa ubora wa ngu zao hawakuuzii. Ni bora uweke bei ya elf 8 (Standard) ambayo itakuruhusu uchague siku ANAYOFUNGUA.
NB. NI BORA UFIKE SIKU ANAYOFUNGUA BALO UPATE NGUO AMBAZO HAZIJACHAGULIWA SANA UKAUZE HARAKA KWA FAIDA NZURI.
OfkozHapa unamaanisha pale ilala sokoni right?
eti mini?Namba 7 na namba 11 hatarisana
mpira unapelekwa kwa namba 9 na goli lifungwe [emoji23][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Una number zao!? Duka lolote zuriMnazi mmoja ule mtaa wa narung'ombe
Hapana.Una number zao!? Duka lolote zuri
Zile Ni kutoka chinaTabu kila mtu ni muiza nguo ckuiz..ila izi jinz za vunjabei zitakua mtumba au spesho sijawai kuzielewa nilinunua 5 kwa mbwembwe na zote hazijatoboa hata mwaka zimefubaa+kupaukaa+kufifia aisee
Kuuza nguo ni fursa,Vijana wanajiajiri. Sio tatizo mkuu. Lakin pia kiuhalisia nguo kupauka ni kitu ambacho hakiepukiki. Bluu au nyeusi Kwa jinzi ni kawaida hat mtumba zinapauka. Lakin Kuna brand Kam Levis Strauss 1873 na aeropostel ni nzur kwenye kukabili tatizo Hilo. Changamoto yake ni ugumu tu! Kufua zinachubua mpaka mikonoTabu kila mtu ni muiza nguo ckuiz..ila izi jinz za vunjabei zitakua mtumba au spesho sijawai kuzielewa nilinunua 5 kwa mbwembwe na zote hazijatoboa hata mwaka zimefubaa+kupaukaa+kufifia aisee
Mkuu Nyaubikra samahani Kwa kuchelew Kujibu. ilala yote ya mitumba wanalifaham Hilo eneo pia unaweza kupata huduma hiyo Kwa mtu yeyote. Usiruhusu watu wa2 au zaid washirikiane kukuuzia /kukuchagulia nguo Kwa kushirikiana. Hao ni mawinga watakupiga tuUmejibu vizuri nitaenda na address yako ile hilo eneo la ashanti ndyo umeniacha mana mimi nataka za kuvaa tu.