Naomba kuuliza kuhusu chimbo zuri la kununua mitumba balo za mitumba

Naomba kuuliza kuhusu chimbo zuri la kununua mitumba balo za mitumba

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na unakuwa ulichagua mwenyewe au walikuchagulia
Tumekaa nje mizigo inatolewa kwa order na kwa majina kadiri mlivyo lipa, unafika kwenye kufungua mzigo na wenzako wanao fungua mizigo yako mambo yanakua tofauti kabisa!

Sikukoma nikahama kijiwe nikahamia kisutu! Huko ndio ilikua balaa! Yule mhindi ilikua anataka tuwe wabia[emoji1787][emoji1787] nikabanga fremu flani sinza makaburini sokoni ilikua kubwa maana ilikua ni saloon ya kike hivyo akawa anakubali nachukua mizigo nakuja kui grade pale ila baada ya yeye kutoa 1st grade, yaani kila balo lililokua linakuja tulikua tunafungua anatoa nguo tano kila balo ambazo zimenyooka zingine anaacha[emoji23][emoji23][emoji23] sikujua kumbe nilikua naelekea 18 zake[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna watu wanaakili sana.

Nikapanga na fremu mabibo hostel kona ya kwanza kuingia chuo pale juu, baada ya mzigo kua mkubwa niliougrade kabla sijafungua duka, tukakutana na nane nane ilikua inaidhinishwa mtwara, ila mahesabu yake anigee mzigo wa mil16 malikauli niende nao 8 8 dodoma, bw'wee, nikaenda nikaandaa eneo nikaja nikafunga mzigo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mzigo niliokuja kuufungasha sikuwahi kuuona na sikujua aliuongiza lini, kumbe kitaaambo alisha uingiza na alisha upekuwa vyakutosha, mimi sikuhangaika kuufungua maana ni balo nyingi sana na muda ulisha isha wa kwenda dodoma[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kilichoenda kunikuta [emoji848][emoji16][emoji16] mpaka leo hii nawaonaga wanaofungua mitumba kama majini watu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Fungua balo la kwanza la jinsi, zinatoka jinsi zile za zamani sana kama maraizoni haijulikani kama niza kike au za kiume, na nyingine ni matambara[emoji1787][emoji1787] duh

Fungua la pili sasa yakatoka mashati [emoji1787][emoji1787][emoji1787] makubwa hata pepekale havai na mengine kama mapazia sijui hata waliokua wanayavaa walikua ni watu wa aina gani na matambara ya kutosha

Kuendelea mwendo ukawa ni huo huo

Sikuumiza kichwa kwakua nilikua sijamlipa kitu pia mzigo alikua anaujua na aliuingiza akaupekua bila mimi kuwepo, ilikua vurugu ambayo sitamani kuikumbuka[emoji1787][emoji1787]

Labda siku hizi biashara hiyo itakua imetulia ila zamani ilikua mtihani sana
 
Tumekaa nje mizigo inatolewa kwa order na kwa majina kadiri mlivyo lipa, unafika kwenye kufungua mzigo na wenzako wanao fungua mizigo yako mambo yanakua tofauti kabisa!

Sikukoma nikahama kijiwe nikahamia kisutu! Huko ndio ilikua balaa! Yule mhindi ilikua anataka tuwe wabia[emoji1787][emoji1787] nikabanga fremu flani sinza makaburini sokoni ilikua kubwa maana ilikua ni saloon ya kike hivyo akawa anakubali nachukua mizigo nakuja kui grade pale ila baada ya yeye kutoa 1st grade, yaani kila balo lililokua linakuja tulikua tunafungua anatoa nguo tano kila balo ambazo zimenyooka zingine anaacha[emoji23][emoji23][emoji23] sikujua kumbe nilikua naelekea 18 zake[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna watu wanaakili sana.

Nikapanga na fremu mabibo hostel kona ya kwanza kuingia chuo pale juu, baada ya mzigo kua mkubwa niliougrade kabla sijafungua duka, tukakutana na nane nane ilikua inaidhinishwa mtwara, ila mahesabu yake anigee mzigo wa mil16 malikauli niende nao 8 8 dodoma, bw'wee, nikaenda nikaandaa eneo nikaja nikafunga mzigo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mzigo niliokuja kuufungasha sikuwahi kuuona na sikujua aliuongiza lini, kumbe kitaaambo alisha uingiza na alisha upekuwa vyakutosha, mimi sikuhangaika kuufungua maana ni balo nyingi sana na muda ulisha isha wa kwenda dodoma[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kilichoenda kunikuta [emoji848][emoji16][emoji16] mpaka leo hii nawaonaga wanaofungua mitumba kama majini watu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Fungua balo la kwanza la jinsi, zinatoka jinsi zile za zamani sana kama maraizoni haijulikani kama niza kike au za kiume, na nyingine ni matambara[emoji1787][emoji1787] duh

Fungua la pili sasa yakatoka mashati [emoji1787][emoji1787][emoji1787] makubwa hata pepekale havai na mengine kama mapazia sijui hata waliokua wanayavaa walikua ni watu wa aina gani na matambara ya kutosha

Kuendelea mwendo ukawa ni huo huo

Sikuumiza kichwa kwakua nilikua sijamlipa kitu pia mzigo alikua anaujua na aliuingiza akaupekua bila mimi kuwepo, ilikua vurugu ambayo sitamani kuikumbuka[emoji1787][emoji1787]

Labda siku hizi biashara hiyo itakua imetulia ila zamani ilikua mtihani sana
Dah nimecheka sana aisee,eti suruali kama malaizoni na mashati makubwa hata pepe kale havai[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Tumekaa nje mizigo inatolewa kwa order na kwa majina kadiri mlivyo lipa, unafika kwenye kufungua mzigo na wenzako wanao fungua mizigo yako mambo yanakua tofauti kabisa!

Sikukoma nikahama kijiwe nikahamia kisutu! Huko ndio ilikua balaa! Yule mhindi ilikua anataka tuwe wabia[emoji1787][emoji1787] nikabanga fremu flani sinza makaburini sokoni ilikua kubwa maana ilikua ni saloon ya kike hivyo akawa anakubali nachukua mizigo nakuja kui grade pale ila baada ya yeye kutoa 1st grade, yaani kila balo lililokua linakuja tulikua tunafungua anatoa nguo tano kila balo ambazo zimenyooka zingine anaacha[emoji23][emoji23][emoji23] sikujua kumbe nilikua naelekea 18 zake[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna watu wanaakili sana.

Nikapanga na fremu mabibo hostel kona ya kwanza kuingia chuo pale juu, baada ya mzigo kua mkubwa niliougrade kabla sijafungua duka, tukakutana na nane nane ilikua inaidhinishwa mtwara, ila mahesabu yake anigee mzigo wa mil16 malikauli niende nao 8 8 dodoma, bw'wee, nikaenda nikaandaa eneo nikaja nikafunga mzigo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mzigo niliokuja kuufungasha sikuwahi kuuona na sikujua aliuongiza lini, kumbe kitaaambo alisha uingiza na alisha upekuwa vyakutosha, mimi sikuhangaika kuufungua maana ni balo nyingi sana na muda ulisha isha wa kwenda dodoma[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kilichoenda kunikuta [emoji848][emoji16][emoji16] mpaka leo hii nawaonaga wanaofungua mitumba kama majini watu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Fungua balo la kwanza la jinsi, zinatoka jinsi zile za zamani sana kama maraizoni haijulikani kama niza kike au za kiume, na nyingine ni matambara[emoji1787][emoji1787] duh

Fungua la pili sasa yakatoka mashati [emoji1787][emoji1787][emoji1787] makubwa hata pepekale havai na mengine kama mapazia sijui hata waliokua wanayavaa walikua ni watu wa aina gani na matambara ya kutosha

Kuendelea mwendo ukawa ni huo huo

Sikuumiza kichwa kwakua nilikua sijamlipa kitu pia mzigo alikua anaujua na aliuingiza akaupekua bila mimi kuwepo, ilikua vurugu ambayo sitamani kuikumbuka[emoji1787][emoji1787]

Labda siku hizi biashara hiyo itakua imetulia ila zamani ilikua mtihani sana
Ndugu umenikumbusha beli yangu ya kwanza ya jinsi nilio agiza kenya, niliagiza men jeans, kaka imetoka jeans kama hizo ulizosema, yaani hazieleweki ni za Kiume au za kike, mpaka leo huo mzigo upo, hakuna mteja anasogelea hata uuze buku buku
 
Ndugu umenikumbusha beli yangu ya kwanza ya jinsi nilio agiza kenya, niliagiza men jeans, kaka imetoka jeans kama hizo ulizosema, yaani hazieleweki ni za Kiume au za kike, mpaka leo huo mzigo upo, hakuna mteja anasogelea hata uuze buku buku
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Umenichekesha hapo uliposema haziuziki kwa bukubuku,na wakati umezigharamia malaki ila binadamu sio watu kabisa
Kaka we acha tu, yani unakata beli ukidhani unaopoa, lakini cha ajabu nikakutana na suruali za ajabu, yaani zile fashen za zamani,. Unakuta suruali juu imebana afu chini imemwaga,.. Mbaya zani zina mifuko mifupi hata kiganja hakiingii, yaani ni nguo za kike ambazo ni toleo la zamani,.. Na huyo mshakaji alijua hilo bei kabugi kwahio akanibambikia mimi, laki tano mzee imepotea yoteeeee... Haa niuze buku akuna mteja anasogea, mpka leo ntaka tu nikazitupe au nikawape wabeba mizigo sokoni
 
Kaka we acha tu, yani unakata beli ukidhani unaopoa, lakini cha ajabu nikakutana na suruali za ajabu, yaani zile fashen za zamani,. Unakuta suruali juu imebana afu chini imemwaga,.. Mbaya zani zina mifuko mifupi hata kiganja hakiingii, yaani ni nguo za kike ambazo ni toleo la zamani,.. Na huyo mshakaji alijua hilo bei kabugi kwahio akanibambikia mimi, laki tano mzee imepotea yoteeeee... Haa niuze buku akuna mteja anasogea, mpka leo ntaka tu nikazitupe au nikawape wabeba mizigo sokoni
Watu wana dhambi duniani hapa
 
Watu wana dhambi duniani hapa
We acha tu mkuu, yani mtu hafikirii mwenzie anakwenda kufanya biashara, anawaza faida zake tu,.. Alafu uyu jamaa ningekua nanunua kwake, ila kanivuruga nikamuacha
 
Tumekaa nje mizigo inatolewa kwa order na kwa majina kadiri mlivyo lipa, unafika kwenye kufungua mzigo na wenzako wanao fungua mizigo yako mambo yanakua tofauti kabisa!

Sikukoma nikahama kijiwe nikahamia kisutu! Huko ndio ilikua balaa! Yule mhindi ilikua anataka tuwe wabia[emoji1787][emoji1787] nikabanga fremu flani sinza makaburini sokoni ilikua kubwa maana ilikua ni saloon ya kike hivyo akawa anakubali nachukua mizigo nakuja kui grade pale ila baada ya yeye kutoa 1st grade, yaani kila balo lililokua linakuja tulikua tunafungua anatoa nguo tano kila balo ambazo zimenyooka zingine anaacha[emoji23][emoji23][emoji23] sikujua kumbe nilikua naelekea 18 zake[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna watu wanaakili sana.

Nikapanga na fremu mabibo hostel kona ya kwanza kuingia chuo pale juu, baada ya mzigo kua mkubwa niliougrade kabla sijafungua duka, tukakutana na nane nane ilikua inaidhinishwa mtwara, ila mahesabu yake anigee mzigo wa mil16 malikauli niende nao 8 8 dodoma, bw'wee, nikaenda nikaandaa eneo nikaja nikafunga mzigo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mzigo niliokuja kuufungasha sikuwahi kuuona na sikujua aliuongiza lini, kumbe kitaaambo alisha uingiza na alisha upekuwa vyakutosha, mimi sikuhangaika kuufungua maana ni balo nyingi sana na muda ulisha isha wa kwenda dodoma[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kilichoenda kunikuta [emoji848][emoji16][emoji16] mpaka leo hii nawaonaga wanaofungua mitumba kama majini watu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Fungua balo la kwanza la jinsi, zinatoka jinsi zile za zamani sana kama maraizoni haijulikani kama niza kike au za kiume, na nyingine ni matambara[emoji1787][emoji1787] duh

Fungua la pili sasa yakatoka mashati [emoji1787][emoji1787][emoji1787] makubwa hata pepekale havai na mengine kama mapazia sijui hata waliokua wanayavaa walikua ni watu wa aina gani na matambara ya kutosha

Kuendelea mwendo ukawa ni huo huo

Sikuumiza kichwa kwakua nilikua sijamlipa kitu pia mzigo alikua anaujua na aliuingiza akaupekua bila mimi kuwepo, ilikua vurugu ambayo sitamani kuikumbuka[emoji1787][emoji1787]

Labda siku hizi biashara hiyo itakua imetulia ila zamani ilikua mtihani sana
Pole mkuu ingawa nimecheka sana, why pepe kale lakini??
 
Kaka we acha tu, yani unakata beli ukidhani unaopoa, lakini cha ajabu nikakutana na suruali za ajabu, yaani zile fashen za zamani,. Unakuta suruali juu imebana afu chini imemwaga,.. Mbaya zani zina mifuko mifupi hata kiganja hakiingii, yaani ni nguo za kike ambazo ni toleo la zamani,.. Na huyo mshakaji alijua hilo bei kabugi kwahio akanibambikia mimi, laki tano mzee imepotea yoteeeee... Haa niuze buku akuna mteja anasogea, mpka leo ntaka tu nikazitupe au nikawape wabeba mizigo sokoni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inasikitisha ila its funny
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inasikitisha ila its funny
Yaani mpaka leo mfanya biashara wa nguo, unapaswa kumuomba mungu, mana hata uwe mjanja vipi mzee kuna mahali utapigwa tu
 
Pole mkuu ingawa nimecheka sana, why pepe kale lakini??
Balaa! Yana fanana na lile shati la lodi lofa akishuka kwenye gari yake ile sijui aina gani[emoji1787][emoji1787]
 
Habari za muda huu wanajua ii. Gt na professionals wa mambo mbalimbali. Poleni Kwa kadhia, hasa wale wanaosumbuliwa na mapenzi, ajira na siasa. Niseme tu tuendelee kupambana, hamko peke yenu.

Nimeona Kuna uhitaji mkubwa wa watu kufahamu biashara ya mitumba kwani wengi wetu wamekuwa wanaulizia Mara Kwa mara na wengine kutoa baadhi ya wanachokijua kujibu maswali Kwa wasiojua. Nianze kwa kusema kwamba hili la majibu mafupi na uhitaji wa Kujua limenisukuma niandike haya.

Mitumba si biashara rahisi kama tunavyofikiria. Ina utaalamu mchache ambao ni Basic. Utaalamu huu ndio unanisukuma kuandika machache.

Kwanza kabisa, wauza mitumba wapo wa Aina nyingi. Kuna suppliers, ambao wananunua robota 20,10 au 50 Kwa wahindi na kuweka mzigo stoo na kuuza kwa WAFUNGUAJI. Kwa namna hiyo, mnyororo wa Belo unaweza kupita mikono zaid ya mitatu mpaka Belo kumfikia anaefungua Belo kuuza nguo Kwa wavaaji/wuazaji.

Mfunguaji (mfungua Belo) ni mfanya biashara ambae anaweza kuwa na mtaji Kati ya laki 5 (Belo 1/2 kutegemew na uzito au bei Husika) ambae anamiliki kizimba (sokoni n. K) anetegemea Sana kuuza nguo moja moja Kwa wateja wa Aina 3. Napendekeza ukiwa na mpango wa kufungua Belo wateja hawa uwe nao. Hapa nitazungumzia Mtumba grade 1.

1. Mteja wa JUMLA
Ni lazima ukubali kwamba, nguo za mitumba zinaweza kutoka Belo moja lakini ubora ukatofautiana. Kuna nguo unaweza kuuza Kwa elfu 10 (tisheti hii bei ni kubwa mno), Kwa jinzi (ukauza mpaka elf 30). Lakini Belo hilohilo litakupa nguo ambayo hata elfu 1 Mia tano huuzi. Hivyo kadri unavyouza lazima uwe na utambuzi wa bei halisi ya nguo iliyo mkononi. Usikatae kuuza elfu 10 ukaione nzur Sana ukaja kuiuza elfu 7 upate hela ya kula kwanza.Au kinyume chake, ukauza nguo elf 10 kumbe hata elfu 25 ungeuza.

MTEJA WA JUMLA NI YULE ANAEKUJA KWAKO KUNUNUA NGUO ZOTE ZILIZOBAKI MKONONI/KIZIMBANI MWAKO,ILI AKAZIUZE (HAWA MARA NYINGI WANA MWAGA CHINI AIDHA KANDO YA BARABARA AU MINADANI) . Mara nyingi Kwa tisheti wananunua bei ya jumla Kati ya 700 mpaka 1300 inategemea na mapatano.

2. MAWINGA (MAPOINTA)
Hawa pia ni wateja muhimu Sana unapofungua Belo. Ni viungo muhimu Sana kuchagua NGUO KALI kutoka kwenye Belo lako wakauze. Hawa huwa na tabia ya kuchagua Sana, kwenye nguo 300 katika Belo lako ni kawaida kupata nguo 3, 4 au 10 usiawchoke. Wanakuaga na "strong negotiation skills". Wasumbufu. Ila ni muhimu kwani wanasaidia Sana kukutoa kwenye msongo wa kutokuuza, mzigo mbaya au wanakubusti kurudisha mtaji kwani wanaoweza kusababisha ukarudisha nusu ya hela yako mapema mno. Kwa tisheti wengi wapo Nje ya jengo la CHINA PLAZA. Wanakuaga na MAGOLI yao. Kwa tisheti huwa wananunuaga Kati ya elf 5 mpaka 8.

PIA, MAPOINTA, wengine wanaitwaga MAWINGA hawa ni watu ambao hawanunui nguo kwako. Hawa wanaleta mteja kizimbani kwako na kuuza kama za kwao. Ni wazuri pia kuropoka bei. Tisheti ya elf 5 wanaoweza kumropokea mteja kuwa bei ni 12. Ni moja Kati ya watu wanaoharibu biashara za mitumba sokoni zinaonekana ghali. Karume na ilala wamejaa Sana hawa. Ni wa muhimu ila hutakiw kuwaamin, wanaoweza kukudhulumu au kuiba. Lakini pia, ikitokea unawaamini unaweza kuwapa nguo wakauze wakulete hela. Kuwajua pia kunahitajika apa. Wanakuaga na uwezo wa kuuza idadi nyingi ya nguo kuliko mwenye Mali yako. Very potential.

3. WAVAAJI
Hawa ni watu kam mimi na wewe. Ambao wanapita au wanvutiwa Kuja kununua. Hawa wanaoweza kuuziwa na wewe au mawinga. Mara nyingi huwa hatuwajali Sana sabab WANAPITA TU. tunaweza kubambika nguo zilizotoboka wasipoona. Ni biashara, ni rizki. Lakini pia wakijenga uaminifu na kurudi rudi huwa tunawachagulia saizi nzur/dizaini wanazopenda tunawtunzia au kuwapigia simu waje kuziona/ kununua.

Aina nyingine ya wauza mitumba ni hawa MAWINGA /MTUKATI /MAPOINTA. hawa Mara nyingi huwa wanachagua nguo chache NZURI TU. Wanakuaga na teknik za kuchagua nguo nzur Kwa JICHO LA MTEJA. hawa ndio ambao tunawakuta wamebeba nguo mkononi kando kando ya barabara au kukuleta majumbani wengine wanaposti mitandaoni (what's ap status, insta nk). Tabia yao kubwa ni kununua nguo nzur tu (Kam nlivyoeleza). Hawana mitaji mikubwa hawa hata elf 50 inawatoshaga. Pia muda mwingine wanalindwaga na uaminifu tu, wanapewa wakauze walete hela.

Aina ya mwisho ya wauza mitumba ni WAUZA JUMLA. Hawa jamaa huwa na kelele kweli kweli. Kokte wakikaaga hawa lazima kuwepo na kelele za kutangaza biashara yao. Hawa wanatumia hesabu za paukwa pakawa. Mfn. Wananunua tisheti bei ya jumla (nimewaeleza juu hapo Kam wanunuzi wa jumla) Kwa kiasi cha shilingi 800 au 900 Kwa tishet 1 kwa mana tishet 350 *900 (bei) = na Laki 4 mfano. Wanazobeba kwenda kuzimwaga chini na kunadisha elfu tatu 1 (ndani ya siku 2). Mfano umeuza tisheti 80 *3000= na Laki 3 na 20. Siku ya tatu unaanza kunadisha Kwa elfu mbili mbili na kuuza tisheti (260 zilizobaki). Unauza elf mbili-mbili tishet 100 (ndani ya siku 2) Sawa na laki tatu. Siku inayofata unaanza kuuza bukubuku. Tu nategemea kupata faida nyingi Kwa kadri tunavyoshusha bei kila siku Kwa sabb ya kulindwa na yile bei iliyoanza kutumika Mara ya kwanza kabisa. Ukisharudisha mtaji zinazobaki hata Mia tano-tano unauza tu.

NB: HAKUNA UWEZEKANO WA KUUZA TISHETI ZOTE.

HAWA WOTE WANAWEZA KUWA WAUZAJI WA JUMLA KULINGANA NA MASLAHI YAO. SAMAHININI KWA MUANDIKO MBOVU WENYE UHITAJI KARIBUNI HAPAHAPA JUKWAANI KWA KUTAKA UELEWA ZAIDI


UPDATE .
Robota utazipata Mnazi mmoja LUMUMBA na NARUNG"OMBE au NKRUMA STREET zilipo ofisi za LATRA. TBC KULE tazara kwernye kampuni moja inaitwa BAZAAR
Umetisha kamanda
 
Mkuu un
Yaani mpaka leo mfanya biashara wa nguo, unapaswa kumuomba mungu, mana hata uwe mjanja vipi mzee kuna mahali utapigwa tu
Nimecheka kama mazuri wakati mtu alitoa hela.

Mkuu vipi kama utaamua kudeal na mashuka nayo unawez kubambikiwa?
 
Mkuu un
Nimecheka kama mazuri wakati mtu alitoa hela.

Mkuu vipi kama utaamua kudeal na mashuka nayo unawez kubambikiwa?
Kaka hakuna kizuri kwenye mtumba, labda uw3 unauza nguo mpya, ila sio mitumba kaka, hua wanaweka kwa ubora, na yale marobota ambayo yana ubora, hua yakishuka tu, kuna wateja wao maalum wanawaita ama kupeleka mapema sana, yaani zile grade one safi... Sasa ninyi mnaofata nyuma, kila mtu na bahati yake ndugu yangu, utakachokutana nacho mshukuru mungu

Nakupa ushauri, kamwe usijidanganye kuagiza mzigo mkuu, hio ndio hatari zaidi,.. Ogopa muuzaji mwenye Babalo ya bei zote,.. Yaani balo la laki 2 analo, laki 3 analo, laki 4 analo, mpaka laki 7 analo na nguo ni aina hio hio moja... Ogopa sana... Unalipia balo la laki 4 anakupa balo la laki 2,... Afu ogopa sana picha za mtandaoni.... Mana anapiga picha suruali zile grade one kaliiiiiiii..... Afu anakwambia hilo balo lake ni laki tatu... Wakati ukiiangalia, ni balo la laki 7...sasa jichanganye uagize,.. Kama hujapata kichaaa cha mbwa
 
Back
Top Bottom