Naomba kuuliza kuhusu kozi ya International Relations and Diplomacy

Abdallah

New Member
Joined
Mar 14, 2025
Posts
1
Reaction score
1
Wakuu naomba mnisaidie sehemu za kupata field ya mtu aliesomea kozi ya International Relations and Diplomacy, kwasababu nahangaika Hadi now sijapata field, yaani duuuuh!!!! πŸ€”
0787044620 my number
 
Na hata kazi kupata sio rahis ....kozi ya bata sana but huwez kupata kaz kwa kozi hiii ....pray for ze best...
 
Nenda wizara ya mambo ya nje au ofisi za kibalozi. Kama field tu ni shida hivi je kazi? Anyway majaliwa Kesha tupa jibu, Ukimaliza hiyo degree yako nenda veta.
 
Propaganda Machines zipo hapo kuamua nchi yenu ikubali lipi iache lipi.

Jifunze Uongo na kauli zenye kuficha ajenda huku zikishika akili za watu.
 
Hujasikia maagizo ya waziri mkuu...NENDA VETA
 
Wakuu naomba mnisaidie sehemu za kupata field ya mtu aliesomea kozi ya International Relations and Diplomacy, kwasababu nahangaika Hadi now sijapata field, yaani duuuuh!!!! πŸ€”
0787044620 my number
Sasa umeweka namba yako ya simu ya nini? 😳
 
1. Balozi za Nchi za Kigeni
2. Mashirika ya Kimataifa
Mfano. Mashirika kama Umoja wa Mataifa (UN), Shirika la Mpango wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP)
3. Mashirika Yasiyo ya Serikali (NGOs)
zinazo deal na masuala ya haki za binadamu, maendeleo ya jamii, na uhusiano wa kimataifa
4. Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
5. Kituo cha biashara na uwekezaji
6. Ccm
7. Airports
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…