Naomba kuuliza kuhusu shirika la MDH

Naomba kuuliza kuhusu shirika la MDH

Sensei Tai

Senior Member
Joined
May 26, 2022
Posts
168
Reaction score
466
Habari zenu wakubwa kwa wadogo.

Najua nafasi za kujitolea hazinaga mshahara ila baadhi ya mashirika au taasisi huwa wanatoa walau pesa ya nauli na chakula

Je kuna mtu yeyote humu kashawahi kujitolea kwenye hili shirika la MDH

Mana ingawa hakuna mshahara ila ni vyema nikajua kama wanatoa walau hata nauli na hela ya msosi

Asanteni kwa mtakaonijuza
 
Habari zenu wakubwa kwa wadogo

Najua nafasi za kujitolea hazinaga mshahara ila baadhi ya mashirika au taasisi huwa wanatoa walau pesa ya nauli na chakula

Je kuna mtu yeyote humu kashawahi kujitolea kwenye hili shirika la MDH

Mana ingawa hakuna mshahara ila ni vyema nikajua kama wanatoa walau hata nauli na hela ya msosi

Asanteni kwa mtakaonijuza
Mi niko napiga nao kazi niko mkoa wa Tabora sio siri hawa hawana longo longo kama uko vizuri, kwa anae jitolea kwa mwezi anapata mia Nne na nauli juu so kama una qualification hasa ktk issue za Afyaa we nenda ofisini kaombe kujitoleaa
 
Mi niko napiga nao kazi niko mkoa wa Tabora sio siri hawa hawana longo longo kama uko vizuri, kwa anae jutolea kwa mwezi anapata mia Nne na nauli juu so kama una qualification hasa ktk issue za Afyaa we nenda ofisini kaombe kujitoleaa
Uko Tabora hospital ama zahanati ipi?
 
Mi niko napiga nao kazi niko mkoa wa Tabora sio siri hawa hawana longo longo kama uko vizuri, kwa anae jitolea kwa mwezi anapata mia Nne na nauli juu so kama una qualification hasa ktk issue za Afyaa we nenda ofisini kaombe kujitoleaa
Kwa mtu wa levo ipi anapewa 400k?
 
Back
Top Bottom