Naomba kuuliza kwa wanaofahamu kuhusu interview kwenye tume ya ajira.

Naomba kuuliza kwa wanaofahamu kuhusu interview kwenye tume ya ajira.

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Je marks anazopata mtu kwenye mtihani wa kuandika (writen interview) huunganishwa na zile anazopata kwenye mtihani wa mahojiano (oral interview) wakati wa kuamua mshindi ni nani, au mshindi huamuliwa na marks anazopata mtu kwenye oral interview peke yake? Wahusika kama mkipita hapa tunaomba mtupatie majibu ya uhakika.
 
Wanakuja endelea kusubiri. Ila interview mara nyingi huwa ni danganya toto tu mlengwa huwa yupo
 
Back
Top Bottom