Naomba kuuliza, ngono inazeesha?

Naomba kuuliza, ngono inazeesha?

Naomba Kupata ufahamu mzuri kutoka kwa wataalumu. Ngono inamchakaza Mwanamke na kumfanyia kuzeeka Mapema?

Na kwa upande Mwanaume inapunguza life span?


Nauliza hivi kwa sababu Nina Umri wa miaka 26 na nimekuwa nikiendekeza ngono Basi mwili wangu naona hauna Nguvu Kama Mwanzo.

Na nikiwatazama classmates na agemate wangu niliokuwa nafanya nao umalaya wamezeeka wote yaani they are looking older than their real age.

Jambo nataka kujua maana Kuna dada ambao hawaendekezi ngono waliolewa Wana miaka 30 lakini wapo vizuri lakini Kuna wadada Mika 20 Kama wazee kimuonekano nazungumzia wale wanozagamuliwa Sana.

Majibu tafadhari.

Pia mzee wangu ni smart Sana tangu akiwa kijana na ana miaka 70+ sio mtu wa Wanawake anabeba madumu mawili ya Lita 20 ya maji bila shida na yupo vizuri hatumii miwani na meno anayo yote Hana mkwaju Wala Nini so kanambia ili nitoboe bila magonjwa nabidi kukaa mbali na ngono so this is real?
Ngono inaongeza siku za kuishi kijana, acha uwoga nenda kaoe mke wa hitaji lako uwe unajigegedea kila siku.
 
Kinyume cha Immotality ni Reproduction, yaani hatuishi milele sababu tuna uwezo wa kuzailana. Kadri unavyofanya ngono ndivyo mwili wako unavyopoteza uwezo wa kuishi zaidi.

N.B
Kuna viumbe hukata moto pale tu wanapomaliza ngono (e.g Nyuki dume)
 
Njia nzuri ya kutozeeka mapema kama unafanya anasa sana, ni mazoezi. Fanya mazoezi kila siku na jijengee nidhamu ya kuushughulisha mwili wako kwa mazoezi mbalimbali, hutakuja kusikia uzee katika miaka yako ya mwanzo.
 
Naomba Kupata ufahamu mzuri kutoka kwa wataalumu. Ngono inamchakaza Mwanamke na kumfanyia kuzeeka Mapema?

Na kwa upande Mwanaume inapunguza life span?


Nauliza hivi kwa sababu Nina Umri wa miaka 26 na nimekuwa nikiendekeza ngono Basi mwili wangu naona hauna Nguvu Kama Mwanzo.

Na nikiwatazama classmates na agemate wangu niliokuwa nafanya nao umalaya wamezeeka wote yaani they are looking older than their real age.

Jambo nataka kujua maana Kuna dada ambao hawaendekezi ngono waliolewa Wana miaka 30 lakini wapo vizuri lakini Kuna wadada Mika 20 Kama wazee kimuonekano nazungumzia wale wanozagamuliwa Sana.

Majibu tafadhari.

Pia mzee wangu ni smart Sana tangu akiwa kijana na ana miaka 70+ sio mtu wa Wanawake anabeba madumu mawili ya Lita 20 ya maji bila shida na yupo vizuri hatumii miwani na meno anayo yote Hana mkwaju Wala Nini so kanambia ili nitoboe bila magonjwa nabidi kukaa mbali na ngono so this is real?
Eee jibu unalo
 
Naomba Kupata ufahamu mzuri kutoka kwa wataalumu. Ngono inamchakaza Mwanamke na kumfanyia kuzeeka Mapema?

Na kwa upande Mwanaume inapunguza life span?


Nauliza hivi kwa sababu Nina Umri wa miaka 26 na nimekuwa nikiendekeza ngono Basi mwili wangu naona hauna Nguvu Kama Mwanzo.

Na nikiwatazama classmates na agemate wangu niliokuwa nafanya nao umalaya wamezeeka wote yaani they are looking older than their real age.

Jambo nataka kujua maana Kuna dada ambao hawaendekezi ngono waliolewa Wana miaka 30 lakini wapo vizuri lakini Kuna wadada Mika 20 Kama wazee kimuonekano nazungumzia wale wanozagamuliwa Sana.

Majibu tafadhari.

Pia mzee wangu ni smart Sana tangu akiwa kijana na ana miaka 70+ sio mtu wa Wanawake anabeba madumu mawili ya Lita 20 ya maji bila shida na yupo vizuri hatumii miwani na meno anayo yote Hana mkwaju Wala Nini so kanambia ili nitoboe bila magonjwa nabidi kukaa mbali na ngono so this is real?

Unazeeka kweli kweli. Stay celibate if you can.
 
Back
Top Bottom