Naomba kuuliza ni vibali vingapi vinahitajika kuanza ujenzi wa nyumba

Naomba kuuliza ni vibali vingapi vinahitajika kuanza ujenzi wa nyumba

Gol D Roger

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2023
Posts
2,316
Reaction score
6,082
Wataalamu naomba mnisaidie kunijuza kuhusu vibali vya ujenzi, binafsi nina kibali cha serikali za mitaa ila kuna mtendaji alikuja site akaanza kufokafoka nikamwambia kibali ninacho, sasa baada ya kumwambia kibali ninacho akaanza kuuliza vibali vya mkurugenzi mara engineer wa wilaya, aisee nilishangaa sana maana sijawahi kusikia hivo vitu, hii issue ya vibali ikoje?
 
Kama maeneo ni ya mjini, unatakiwa uwe na michoro ya jengo lako, baada ya hapo utaenda halmashauri husika utaonesha michoro na kupewa control no. Na utalipia then utapewq kibali cha ujenzi na nakala ya michoro yako, moja ya nakala iliyo certified itakaa site na mtu akija utamuonesha pamoja na nakala ya building permit.

Kwa maeneo ya pembezoni utatembelea serikali ya kijiji/mtaa husika na utatoa taarifa ya ujenzi wako. Wao wana utaratibu wao 😀
 
Wataalamu naomba mnisaidie kunijuza kuhusu vibali vya ujenzi, binafsi nina kibali cha serikali za mitaa ila kuna mtendaji alikuja site akaanza kufokafoka nikamwambia kibali ninacho, sasa baada ya kumwambia kibali ninacho akaanza kuuliza vibali vya mkurugenzi mara engineer wa wilaya, aisee nilishangaa sana maana sijawahi kusikia hivo vitu, hii issue ya vibali ikoje?
Ni changamoto sanaa aisee, sasahv issues zinazohusu vibali imekuwa usumbufu sana na vilevile ni kichaka cha watu kuchukua rushwa
 
Wataalamu naomba mnisaidie kunijuza kuhusu vibali vya ujenzi, binafsi nina kibali cha serikali za mitaa ila kuna mtendaji alikuja site akaanza kufokafoka nikamwambia kibali ninacho, sasa baada ya kumwambia kibali ninacho akaanza kuuliza vibali vya mkurugenzi mara engineer wa wilaya, aisee nilishangaa sana maana sijawahi kusikia hivo vitu, hii issue ya vibali ikoje?
Sio chanika kweli apo mkuu😅
 
Kama maeneo ni ya mjini, unatakiwa uwe na michoro ya jengo lako, baada ya hapo utaenda halmashauri husika utaonesha michoro na kupewa control no. Na utalipia then utapewq kibali cha ujenzi na nakala ya michoro yako, moja ya nakala iliyo certified itakaa site na mtu akija utamuonesha pamoja na nakala ya building permit.

Kwa maeneo ya pembezoni utatembelea serikali ya kijiji/mtaa husika na utatoa taarifa ya ujenzi wako. Wao wana utaratibu wao 😀
Ahsante kaka
 
Back
Top Bottom