Gol D Roger
JF-Expert Member
- Sep 16, 2023
- 2,316
- 6,082
Wataalamu naomba mnisaidie kunijuza kuhusu vibali vya ujenzi, binafsi nina kibali cha serikali za mitaa ila kuna mtendaji alikuja site akaanza kufokafoka nikamwambia kibali ninacho, sasa baada ya kumwambia kibali ninacho akaanza kuuliza vibali vya mkurugenzi mara engineer wa wilaya, aisee nilishangaa sana maana sijawahi kusikia hivo vitu, hii issue ya vibali ikoje?