bandeko andeko
JF-Expert Member
- Oct 20, 2021
- 1,080
- 2,143
ulichoandika si sahihi hata kidogo kwa maana si lazima eneo liwe limepimwa na wala hauhitajiki kurasimisha eneo ili uweze kupatiwa kibali cha ujenzi.Mkuu rudia kusoma nilichoandika
1. kwa eneo lililopimwa utapeleka set ya michoro iliyoidhinishwa ili taratibu za kibali zifanyike.
2. kwa eneo lisilopimwa unahitajika kupata coordinates za eneo husika pia ujaze fomu maalumu ya ushirikishwaji wa majirani wa pande nne, ipite kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa, mtendaji wa mtaa, mtendaji kata ndipo uipeleke halmashauri husika ili taratibu za kupatiwa kibali zifanyike.
note: urasimishaji wa eneo na uombaji wa kibali cha ujenzi ni vitu viwili tofauti, nazungumzia kwa uzoefu wa ujenzi kwenye maeneo yaliyopimwa (surveyed areas) pamoja na maeneo yasiyopimwa (unsurveyed areas).