Naomba Kuuliza, Sio Kwa Ubaya Lakini Ni Katika Kujifunza... Ni Kuhusu Jumamosi..

Naomba Kuuliza, Sio Kwa Ubaya Lakini Ni Katika Kujifunza... Ni Kuhusu Jumamosi..

Dialogist

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2014
Posts
1,167
Reaction score
1,872
Good Sunday Ladies And Gentlemen...

Miaka Kadhaa Nyuma Kulikua Na Kampeni Kabambe Kila Jumamosi Ya Kwanza Ya Mwezi Na Kila Mtu Aliiheshimu Kama Sio Kuiogopa Kabisa Siku Hiyo...

..Ni Siku Ya Usafi Kwa Nchi Nzima. Hivyo Iliwalazimu watu wote, Sekta Zote, Biashara Zote Na Kila Kinachofanya Kazi Kutokufunguliwa Mapema Kabla Ya Saa 4/3 Asubuhi Kutoa Nafasi Kwa Kila Mmoja Kushiriki Usafi Katika Mazingira Aliyopo. Hiyo Ilikua Ni Amri Ya Rais Wa Kipindi Hicho Na Ilikua Sheria, Ukienda Kinyume Chake Basi Mahakama Inakuita Kwa Faini Au Kifungo...

..Swali Langu, Mbona Hiyo Siku Haina Tena Mwamko Wala Haina Tashtwiti Wala Ufatiliaji Tena??? Serikali Imelala? Au Hii Sirikali Sio Ile Serikali?? Au Baba Na Mama Kila Mmoja Na Mipango Yake Katika Kujenga Familia?? Baba Haruhusiwi Kutumia Mpango Wa Mama Hata Kama Una Faida Kwa Watoto?? Wizara Ya Afya Au Ya Mazingira Hazipo Siku Hizi???

Ni Hayo Tu!!!
 
..Ni Siku Ya Usafi Kwa Nchi Nzima. Hivyo Iliwalazimu watu wote, Sekta Zote, Biashara Zote Na Kila Kinachofanya Kazi Kutokufunguliwa Mapema Kabla Ya Saa 4/3 Asubuhi Kutoa Nafasi Kwa Kila Mmoja Kushiriki Usafi Katika Mazingira Aliyopo. Hiyo Ilikua Ni Amri Ya Rais Wa Kipindi Hicho Na Ilikua Sheria, Ukienda Kinyume Chake Basi Mahakama Inakuita Kwa Faini Au Kifungo...
Uongozi ni karama, hawa waliopo ni wachumiatumbo
 
Ni upuuzi kwa watanzania/mtu yeyote kutegemea serikali ndio imkumbushe kila jambo yaani hadi usafi, usafi kweli dah!
 
Tunakoelekea mtataka serikali iweke siku ya kufua nguo kitaifa!

Usafi ni swala la ustaarabu wa watu binafsi, mnawezewaje kuishi mtaa mchafu watoto wenu watacheza wapi?.

Kama hamna muda wekeni watu muwalipe!

Pia mamlaka za serikali za mitaa na Halmashauri wanakusanya Kodi mbalimbali matumizi yake ni pamoja na hayo
 
Ni upuuzi kwa watanzania/mtu yeyote kutegemea serikali ndio imkumbushe kila jambo yaani hadi usafi, usafi kweli dah!
Bro labda ungepata chai kwanza kabla ya kupost masta. Maana ulichoandika sijaelewa... Kwani kuna mtu asiyejua kama hua kuna kipindupindu?? Mbona serikali lazima ihamasishe usafi? Na vipi kuhusu chanjo, mbona serikali inahamasisha masta... Hilo ni jukumu la gavamenti na ofcoz ni letu. Lakini serikali ndio kiongozi na muhamasishaji mkuu.
 
Majibu yake ni haya hapa👇
 

Attachments

  • IMG-20250209-WA0004.jpg
    IMG-20250209-WA0004.jpg
    183.7 KB · Views: 1
Tunakoelekea mtataka serikali iweke siku ya kufua nguo kitaifa!

Usafi ni swala la ustaarabu wa watu binafsi, mnawezewaje kuishi mtaa mchafu watoto wenu watacheza wapi?.

Kama hamna muda wekeni watu muwalipe!

Pia mamlaka za serikali za mitaa na Halmashauri wanakusanya Kodi mbalimbali matumizi yake ni pamoja na hayo
Panapokoswa ustaarabu ndio palipo na uvunjifu wa sheria na ndipo serikali inapaswa kuwepo
 
Good Sunday Ladies And Gentlemen...

Miaka Kadhaa Nyuma Kulikua Na Kampeni Kabambe Kila Jumamosi Ya Kwanza Ya Mwezi Na Kila Mtu Aliiheshimu Kama Sio Kuiogopa Kabisa Siku Hiyo...

..Ni Siku Ya Usafi Kwa Nchi Nzima. Hivyo Iliwalazimu watu wote, Sekta Zote, Biashara Zote Na Kila Kinachofanya Kazi Kutokufunguliwa Mapema Kabla Ya Saa 4/3 Asubuhi Kutoa Nafasi Kwa Kila Mmoja Kushiriki Usafi Katika Mazingira Aliyopo. Hiyo Ilikua Ni Amri Ya Rais Wa Kipindi Hicho Na Ilikua Sheria, Ukienda Kinyume Chake Basi Mahakama Inakuita Kwa Faini Au Kifungo...

..Swali Langu, Mbona Hiyo Siku Haina Tena Mwamko Wala Haina Tashtwiti Wala Ufatiliaji Tena??? Serikali Imelala? Au Hii Sirikali Sio Ile Serikali?? Au Baba Na Mama Kila Mmoja Na Mipango Yake Katika Kujenga Familia?? Baba Haruhusiwi Kutumia Mpango Wa Mama Hata Kama Una Faida Kwa Watoto?? Wizara Ya Afya Au Ya Mazingira Hazipo Siku Hizi???

Ni Hayo Tu!!!
Paul Makonda a.k.a DAUDI ALBERT BASHITE ni mgonjwa wa magonjwa mtambuka likiwemo gonjwa hatari la afya ya akili, ndiyo maana aliweza kumpiga mtama Mzee WARIOBA mbele ya kadamnasi
 
Tunakoelekea mtataka serikali iweke siku ya kufua nguo kitaifa!

Usafi ni swala la ustaarabu wa watu binafsi, mnawezewaje kuishi mtaa mchafu watoto wenu watacheza wapi?.

Kama hamna muda wekeni watu muwalipe!

Pia mamlaka za serikali za mitaa na Halmashauri wanakusanya Kodi mbalimbali matumizi yake ni pamoja na hayo
Ipo ni jumamosi 🤣 wasabato jumapili
 
Kipindi ipo active uliuliza swali lolote?

Wewe ukiona mtu mzima anaambiwa asafishe eneo lake la Kazi au anapoishi ujue huyo hamnazo
Kamanda hapo sijakuelewa, Unapinga Hoja, Unaunga Mkono Au Unaboresha... Hebu tuelewane kwanza hapo...
 
Kamanda hapo sijakuelewa, Unapinga Hoja, Unaunga Mkono Au Unaboresha... Hebu tuelewane kwanza hapo...

Sipingi,
Wala siungi Mkono.
Ila nashangaa swali Lako.

Swali Lako lipo kimtego, au namna ya kutukana jamii yako pasipo ya wewe Kujua.
 
Back
Top Bottom