Naomba kuuliza waungwana

Naomba kuuliza waungwana

Imeandikwa

1 Wakorintho 7
2 Lakini kwa sababu ya zinaa kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke na awe na mume wake mwenyewe.

Zingatia: mke wake mwenyewe na sio wake zake mwenyewe
Sijaona mstari unaosema marufuku au zambi kuoa mke zaidi ya mmoja? au ujaelewa mada
 
Hakuna sheria ya kidini, kiutamaduni, na kiserikali inayokuzuia kuoa wake wengi.

Isipokuwa sheria za Makanisa ambazo ni maoni tuu ya viongozi WA dini wala sio sheria za Imani.

Kwenye Ukristo na uislam sheria zinapatikana kwenye Torati na sio mahali pengine. Maandiko mengine tofauti na Torati ni Mafundisho, historia, unabii na maoni ya mitume. Hivyo sio SHERIA
 
Sijaona mstari unaosema marufuku au zambi kuoa mke zaidi ya mmoja? au ujaelewa mada

Umepewa akili ili uitumie kupata maarifa na kutafakari mambo...

Kilichoandikwa unapaswa ukielewe, halafu ukipambanue...

Sasa wewe unataka neno liandikwe kama unavyowaza katika kichwa chako, lakini hutaki kunyambulisha yale yaliyoandikwa ili uyaelewe katika namna yanavyopaswa kueleweka...

Wingi wa mke zaidi ya mmoja ni neno wake, sasa mistari ya biblia ilipoandika juu ya ndoa imekuwa ikitaja umoja tu kwa maneno ama mke au mume, maana yake kinyume na hapo hakuna maelekezo mengine...

Ukishindwa kuelewa na hapa, basi kwaheri
 
unaetafuta kuhalalisha.uzinzi ndani ya ndoa una michepuko kibao ila umejigicha kwenye umwamvuli wa ndoa.

nikwambie tu yupo aonae ya sirini hata usipohalalisha hazarani haina tabu. ulikuja mwenyewe utaondoka mwenyewe.
 
Ww oa wanawake wengi ukishindwa kuwanyandua tutakusaidia ila usije hawa na hasira na kuua mtu.
Maisha yenyewe yalivyo stress wanawake wengi unataka kufungua chuo za ususi?
 
Ni askofu pekee aliyeambiwa aoe mke mmoja. Wengine wote ni pundaaaa!!!
Wanajibebesha mizigo isiyo yao ndiyo maana wanaoongoza Kwa kuchepuka na kuzaa kwenye ndoa za watu ni Wanaojiita wakristo. Wanaoongoza Kwa migogoro ya Ndoa ni Wanaojiita Wakristo. Wanaoongoza Kwa ulevi kwenye mabaa yenye mabaa medi Wazuri ni Mal wa uongo.
Mikoa inayoongoza ukimwi ni yenye Wakristo wengi. Walioongozakufa korona ni nchi za Makristo wa uongo wakioleta hizo Mila zitokanazo na Haki sawa Kwa na sio Biblia.
Wanawake wanaodanganya kwenye ndoa na kubambika watoto baba zao wengi ni Wakristo mana Kwa Waislam kumdanganya mtoto baba ni dhambi.
Wanaoongoza kuishi bila ndoa wengi ni Makristo wa uongo.

Kifupi kanuni ya kuoa Mke mmoja ni kitanzi kikubwa sana Kwa wakristo na kitawaleleka wengi Jehanam.

Ili Mkristo aoe mke mmoja na kutimiza kiapo Cha kutenganishwa na Kifa ni Lazima awe na Imani kubwa sana. Amwamini Mungu na kumpenda kuliko kitu Chochote awapende na Jirani yake kama nafsi yake . Amwamini Yesu kuwa ni Mwokozi na awe anaongozwa na Roho Mtakatifu. Mtu huyu anaweza kuoa mke mmoja na akaapa mbole ya madhebahu na Kutoa sadaka yake ya Ndoa.

Wengi wameapa uongo Mbele ya madhebahu ndio maana Pepo la tamaa ya ngono limewavaa zaidi wakristo na hata SHERIA za mfumo Kristo zinawaogopa wazinifu na kuwapa kipao mbele. Na ukumbuke kuwa wakristo wanaapa kuwa kifo ndicho kitakachowatenganisha ndio maana mauaji ni Mengi Kwa sababu walishaapa kufia kwenye ndoa.

Tupazeni sauti hizi kuoa wake wengi isiwe ni suala la kutengwa na kuonekana ni jambo la kishamba.
Wenye uwezo wa kifedha na kimwili waruhusiwe kuoa na waoe bila aibu.
Ukweli mtupu..
 
Umepewa akili ili uitumie kupata maarifa na kutafakari mambo...

Kilichoandikwa unapaswa ukielewe, halafu ukipambanue...

Sasa wewe unataka neno liandikwe kama unavyowaza katika kichwa chako, lakini hutaki kunyambulisha yale yaliyoandikwa ili uyaelewe katika namna yanavyopaswa kueleweka...

Wingi wa mke zaidi ya mmoja ni neno wake, sasa mistari ya biblia ilipoandika juu ya ndoa imekuwa ikitaja umoja tu kwa maneno ama mke au mume, maana yake kinyume na hapo hakuna maelekezo mengine...

Ukishindwa kuelewa na hapa, basi kwaheri
Kwahiyo mkeo huyo mmoja akiumwa let say saratani ya shingo ya uzazi,kiasi kwamba huwezi kufanya nae tendo la ndoa, Basi uwe unapiga punyeto au inakuaje?? vitu vingine dini ya ukristo umevizua tu wenyewe,Wala havipo ktk vitabu vya kale vya mungu
 
Pesa zako wewe oa tu au wataka kuoa kanisani tena?🙂
 
Umepewa akili ili uitumie kupata maarifa na kutafakari mambo...

Kilichoandikwa unapaswa ukielewe, halafu ukipambanue...

Sasa wewe unataka neno liandikwe kama unavyowaza katika kichwa chako, lakini hutaki kunyambulisha yale yaliyoandikwa ili uyaelewe katika namna yanavyopaswa kueleweka...

Wingi wa mke zaidi ya mmoja ni neno wake, sasa mistari ya biblia ilipoandika juu ya ndoa imekuwa ikitaja umoja tu kwa maneno ama mke au mume, maana yake kinyume na hapo hakuna maelekezo mengine...

Ukishindwa kuelewa na hapa, basi kwaheri
Inazungumzwa mke mmoja kwa kuwa ndoa hufungwa kwa mke mmoja na sio wengi kama three some kwa mara moja. Yaani ni kama watoto kwa mzazi, unazaa mara moja mtoto mmoja lakini baadae unakuwa na watoto 4, shule watasema kila mtoto aje na mzazi wake, watoto wako 4 wataenda na wewe lakini pale kila mtoto atasema kwa nafsi yake kuwa huyu ni mzazi wangu na sio mzazi wetu.
 
Imeandikwa

1 Wakorintho 7
2 Lakini kwa sababu ya zinaa kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke na awe na mume wake mwenyewe.

Zingatia: mke wake mwenyewe na sio wake zake mwenyewe
Tafsiri ni kuwa awe na mwanamke atayekuwa anachovya kila mara na sio awe anadandia dandia wanawake, na hao wanawake pia wasiwe wanadandiwa na wanaume tofauti tofauti pasipo kuwa na mtu permanent. Mtu akiwa na wake 6 permanent ni sawa, lakini ingekuwa si sawa kama angekuwa ananunua makahaba 6 kila mara.
 
Tafsiri ni kuwa awe na mwanamke atayekuwa anachovya kila mara na sio awe anadandia dandia wanawake, na hao wanawake pia wasiwe wanadandiwa na wanaume tofauti tofauti pasipo kuwa na mtu permanent. Mtu akiwa na wake 6 permanent ni sawa, lakini ingekuwa si sawa kama angekuwa ananunua makahaba 6 kila mara.

Kwa hiyo hao 6 ndio wanaitwa mke au wake?
 
Kwa hiyo hao 6 ndio wanaitwa mke au wake?
Mke. Cheti cha ndoa ni kati ya mtu mume na mtu mke. Kwa muktadha wa sheria, kwa muktadha usio rasmi sana wataitwa wake
 
Nimesoma kwenye Bible sijaona sehemu kimekataza sisi wafuasi wa masiha kuoa mke zaidi ya mmoja,

Ebu ambae anajua Kuna mstari unakataza kuoa mke zaidi ya mmoja tafadhali ningeomba anionyeshe, maana nimechoka kuwa na mke mmoja na ukichukulia hii michepuko ya nje inajua kuchuna tu haina mapenzi ya kweli, namimi kiukweli nguvu nilizonazo mke mmoja nahisi anitoshi kabisa kabisa.

Maana kila siku Mimi nataka tendo la ndoa na mwenzangu kasema yeye hawezi anataka nimle wiki Mara moja.
Mfalme Selemani alikuwa na wake 700 licha ya masuria (i.e.michepuko) 300 - haya kazi kwako.
 
Back
Top Bottom