Naomba leo mniache niseme na Wasabato, nimeamua kuamka nao leo

Pole mkuu.... hiyo ni roho yake tu mbaya... maji ni kitu gani jamani... Dumu mbili aisee?

Pole sana mkuu kama hiyo ilikufanya ushindwe kuoga
ni wqtu miyeyusho kunq bos aritupigisha kaz kuchmba shmo la choo.imefka jion kakataa kuturipa akasema sabato imeingia.arikua mkulya msabato.washenz sana
 
Naomba unielekeze kwenye Biblia ni mstari upi unaotaja kuwa siku ya saba ni Jumamosi please.
 
Kama huli kitimoto unakosa nyama tamu sana ndugu😅😅😅
 
Dhehebu makao makuu yake yapo marekani lazima uwe makini sana
 
Hakuna mtu wa ovyo bali wa ovyo ni Shetani. Hapo wewe ulitakiwa umsaidie mwenzako mawazo kwamba naomba unisaidie bure kwa sababu ya dharura niliyonayo angekusaidia.
 
Hapo dini haihusiki.anahusika mtu mwenyewe.Kua kwenye dini alafu ukawa mjinga tatizo linakua sio dini bali wewe mwenyewe.Ndo maana Yesu mwenyewe kuna mambo yakibinadamu aliyafanya siku ya sabato.lile lilikua somo tosha.Wasabato na waislam ni waumini ambao wana misimamo ya kidini ambayo wakati mwingine sio sahihi.Ila hiyo inabaki kua shida ya muumini mwenyewe kwajinsi anavyoweza kudigest maandiko.Pole sana.
 
unajua maana ya sadaka? UMASIKINI WAKO UNAKUFANYA UTEGEMEE MIPANGO YA WATU. Jipange uondokane na umaskini ili usitende dhambi za kujitakia kama hizi unatukana watu bila sababu. UMASIKINI NI ULEMAVU MKUBWA WA AKILI.
Ila wabongo noma sana,ko mm kwenda na dumu zangu mbili kununua maji kwa msabato nishakua maskini kila mtu ananambia nitafute pesa,hongereni nyie mnapikia na kuoshea vyombo hill water
 
mimi ni muislamu katika wakristo ni bora wasabato kuliko dini za kikiristo zoote romankatolik ndio ovyoo ya mwisho duniani
Huwa nasikia waslamu na Wasabato ni aki na ukwa kasoro siku za kuabudu
 
Kuna mtu kasema humu kwmb hawez kunipa maji hata kwa bure ama sadaka kwmb kitendo cha mm kubeba yale maji tayar nimefanya kazi kitu ambacho hakitakiwi,Wasabato wanoma sana
 
Asee master hiii PDF ni ndefu kidg taipitia badae kwasasa naomba unisaidie kitu mana naona una madini sanaa hiv zamani izo siku zilikua zinaitwaje mpk tukaja kwny haya majina ya sasa na ilikuaje kwa wasabato sabato yao ikaangukia jmos,na wengne j2,friday etc
 
Umeona eenhh?!.Hawa wajomba wanazingua sana.
 
Nilijua tu,hoja pekee ya Wasabato ni hiyo maana ndivyo mlivyokalilishwa.Poleni sana kwa kulishwa matango pori kuhusu Kanisa Katoliki.Bakia hivyo.
 
Usabato siyo dini bali ni itikadi tu au kwa Kiingereza "Cult". Mara waseme namba 666 au 616 iliyokuwa ikimaanisha mfalme Kaisar Nero, kuwa eti ni Pope.

Nadhani wanazidi kulichokonoa Kanisa Katoliki baada ya kuona huo unabii wao wa Kanisa Katoliki kuwalazimisha kusali Jumapili, hautimii.

Walisema mwisho wa Dunia utakuwa mwaka 1844, haikuwa.

Wamesema Kanisa Katoliki litawalazimisha wasabato kusali Jumapili, haijatokea na hata dalili tu hazipo.

Mungu atazidi kuwaumbua wenye mafundisho ya uwongo siku zote.
 
Boss nakuhurumia sana,kwasababu huu uongo tulishaujua kitambo sana.Ukweli ni kwamba namba 666,inamwakilisha ELLEN GOULD WHITE.Naandaa kipindi nije hapa niweke ukweli wazi.
 
bomba la msabato halafu unataka akuuzie maji jumamosi hizi ni dharau
 
Kwanini Yesu hakuiheshimu?...
Mpaka kudiriki kusema ana mamlaka juu ya sabato, maana nyepesi ni kuwa ukimuamini Yesu tayari umekuwa na mamlaka juu ya Sabato.

And he said unto them, The sabbath was made for man, and not man for the sabbath: therefore the Son of man is Lord also of the sabbath.
Mark 2:27‭-‬28 KJV

Hii Tafsiri wakatoa maelezo kabisa:
Jesus said to them, “The Sabbath was made for man, not man for the Sabbath. So the Son of Man is Lord even of the Sabbath [and He has authority over it].”
Mark 2:27‭-‬28 AMP

Jiulize wewe uliye mwana wa Mungu na Yesu anakaa ndani yako (uliyeamini) je unataka sabbato ndio iwe na authority juu yako? Yani hata kuuza maji ikupangie?

Kubali mafundisho ya Yesu kama vile alivyosema yeye ni Bwana mwenye mamlaka, hivyo wewe uliye mwanae unamamlaka pia kwenye Yote ambayo Yesu anamamlaka kwa sababu unaishi ndani yake.
 
Tusamehe Mkuu. Huyo msabato kafeli simple logic tu. Tutamuita tumuweke sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…