Naomba leo mniache niseme na Wasabato, nimeamua kuamka nao leo

Naomba leo mniache niseme na Wasabato, nimeamua kuamka nao leo

Petro mwamba alisurubiwa wapi? Hakuna Ukristo bila kanisa katoliki, hili unajidanganya mwenyewe.
Ukristo ni ufuasi wa Kristo sio kumfuata Petro uelewe hilo.

Ukristo sio kumfuata Papa wala Petro wala kiongozi yeyote wa Kanisa awe Petro au papa au mtume au nabii au mchungaji au padre au sista au paroko

Petro alisulubiwa na Waroma ambai ndio.walioua Yesu .Kusafisha uharamia wao ndio wakaja kuibuka ohh Papa Petro alifia Roma ndiko kunatakiwa kuwa makao makuu ya Ukristo maruhuni wakubwa walimuua wao wenyewe halafu wanasema ohh kiti cha Papa kinatakiwa kuwa alipofia Petro kwenye kaburi walilomuua wenyewe na kumxika wenyewe

Madhehebu mengine huo utapeli hatuukubali makao makuu ya Ukristo yako Israel ulikoanzia Ukristo sio Roma kwa wauaji wa kirumi waliohukumu Yesu kufa kupitia Mrumi mwenzao Ponsio Pilato ,na Askari wa kirumi wakamtesa na kumsulubisha Yesu na kumuua na wakamwuua Petro halafu baadaye wadai ohhh sisi ndio kanisa la kwanza Huo utapeli mtapeliane wakatoliki tu huko.Madhehebu mengine tunajielewa Wayahudi hawakuua Yesu walala Petro ndio wakristo Madhehebu yote tunaheshimu sana watahudi lakini sio waroma

Na kuhiji tunaenda Israel kwa wayahudi sio Roma kwa wauaji wa Yesu na Petro
 
Ukristo ni ufuasi wa Kristo sio kumfuata Petro uelewe hilo.

Ukristo sio kumfuata Papa wala Petro wala kiongozi yeyote wa Kanisa awe Petro au papa au mtume au nabii au mchungaji au padre au sista au paroko

Petro alisulubiwa na Waroma ambai ndio.walioua Yesu .Kusafisha uharamia wao ndio wakaja kuibuka ohh Papa Petro alifia Roma ndiko kunatakiwa kuwa makao makuu ya Ukristo maruhuni wakubwa walimuua wao wenyewe halafu wanasema ohh kiti cha Papa kinatakiwa kuwa alipofia Petro kwenye kaburi walilomuua wenyewe na kumxika wenyewe

Madhehebu mengine huo utapeli hatuukubali makao makuu ya Ukristo yako Israel ulikoanzia Ukristo sio Roma kwa wauaji wa kirumi waliohukumu Yesu kufa kupitia Mrumi mwenzao Ponsio Pilato ,na Askari wa kirumi wakamtesa na kumsulubisha Yesu na kumuua na wakamwuua Petro halafu baadaye wadai ohhh sisi ndio kanisa la kwanza Huo utapeli mtapeliane wakatoliki tu huko.Madhehebu mengine tunajielewa Wayahudi hawakuua Yesu walala Petro ndio wakristo Madhehebu yote tunaheshimu sana watahudi lakini sio waroma

Na kuhiji tunaenda Israel kwa wayahudi sio Roma kwa wauaji wa Yesu na Petro
Ukienda kuhiji Israel wenyewe Wayahudi wanakushangaa hiii, yani wenzako wanamsubili Masia ndio mfalme wa Wayahudi siyo huyu Yesu.

Sasa kati yako na Wayahudi mjinga nani?
 
Jinga kabisa wewe, Wakatoliki ndo wenye imani yao na ndo baba wa madhehebu yote ya kikristo. Wao ndo waliotengeneza njia yenu wote alafu leo hii uniambie hawajui walichokitengeneza!!!?? Huko kwa manabii wenu mnalishwa ujinga mtupu.
Hili tatizo. Wa Roman catholiki ndo wametengeza njia? Yaani Yesu ambaye ndiye njia kuwa alikuwa mkatoliki ama? Kauli hii inafanya kuwa alisema hamjui mnacho kiabudu kuwa inaweza kuwa kweli ama sasa
 
Kila mtu na Imani Yake Kama yeye Hauzi Maji Jumamosi Nenda Pengine au vuta maji Kwako.
Kila Mtu anaishi Maisha Aliyoyachagua Kila dini ni sahihi Kwa Mujibu wa Mtu
Yeye anaona Hivo Ni sahihi Kwake cha Kukushauri tu Tafuta Hela, Hasira Nyingine Huwa Zinaletwa Na Shida Zetu.
 
Mkuu kwa muktadha huu kati ya kusaidia mtu na kushika sheria... Unachagua kushika sheria.

Pole sana mkuu
Kwan ulkuwa unaenda kufa yaan m2 avunje sheria ili wew uogee haileti sense ata yey sio mjinga ivo amekunyima coz huna sababu ata ya kusaidiwa unaweza nunua pengne au utaoga wiki ijayo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom