Until_The_End
JF-Expert Member
- Nov 21, 2020
- 1,456
- 2,202
Wasome hata Biblia Yesu alifanya nini kwenye nyakati kama hizo:
Akawajibu, Baba yangu anatenda kazi hata sasa, nami ninatenda kazi.
Basi kwa sababu hiyo Wayahudi walizidi kutaka kumwua, kwa kuwa hakuivunja sabato tu, bali pamoja na hayo alimwita Mungu Baba yake, akijifanya sawa na Mungu. Basi Yesu akajibu, akawaambia, Amin, amin, nawaambia,
Yohana 5:17-18 SRUVDC
Akawajibu, Baba yangu anatenda kazi hata sasa, nami ninatenda kazi.
Basi kwa sababu hiyo Wayahudi walizidi kutaka kumwua, kwa kuwa hakuivunja sabato tu, bali pamoja na hayo alimwita Mungu Baba yake, akijifanya sawa na Mungu. Basi Yesu akajibu, akawaambia, Amin, amin, nawaambia,
Yohana 5:17-18 SRUVDC