Naomba mada nzuri ya Utafiti wa Kisayansi itakayotikisa Duniani

Hope ni wazima.
Wakuu nataka nifanye research itakayo tikisa dunia na ulimwengu wa sayansi kwa ujumla.

Wakuu naomba mawazo yenu je nifanye juu ya topic ipi??
Owner wa Amazon alikuwa anafund project ya watu kuishi milele, tesla watu kutafuta makoloni mapya ulimwenguni,
Wewe cheza hapo kati kati kuwasafirisha watu kuwapeleka mbinguni
 
Wewe unataka kuitikisa dunia ambayo Remi Ongalla aliita haina huruma
 
Aikoooo we ni ME au KE? Kama ni KE tikisa kwanza tako tuone, kama ni Me fata ushauri wa Comment ya #12
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…