Naomba mada nzuri ya Utafiti wa Kisayansi itakayotikisa Duniani

Naomba mada nzuri ya Utafiti wa Kisayansi itakayotikisa Duniani

Hope ni wazima.

Wakuu nataka nifanye research itakayo tikisa dunia na ulimwengu wa sayansi kwa ujumla.

Wakuu naomba mawazo yenu je nifanye juu ya topic ipi??
Kwa kuwa AI imetikisa sana

Unaonaje ukifanyia utafi HI (Hu.an Intelligence)maana watu sasa hivi wanaona mashine zimepata akili watataka sasa na mwanadamu naye ajiongeze kiakili

Unazifahamu nootropics??

Kuna tafiti zinaendelea kwa panya lakini mfano

Njoo tushirikiane kuitikisa dunia 😂😂😂😂

View: https://youtu.be/hNk4X29rA9Y?si=0-fmm0Mnew-h8jFn
 
Mpaka hapo ndoto zako za.kuitikisa dunia zimekwama
Mbona una limit uwezo wako wakufikiri? Amekuambia anata wazo je umempati wazo la yeye kulifanyia utafiti na akarudi na majibu ya yeye kukwama..

Mpe wazo kazi kwake, wewe tu kupokea taarifa ya wazo lako au na hili litakushonda!!!
 
Tafuta chanzo cha kifo na jinsi ya kukizuia tueleze kinagaubaga kuhusu ukweli wa Mungu na facts zake vithibitisho yuko wapi na anafanyaje kazi, maisha ya sayari zingine, jinsi ya kusafiri toka sehemu moja kwenda nyingine electronically by chip, device besides haya mandege au fufua watu rudisha uhai wao DUNIA HAITAKUSAHAU
 
Jinsi gani Serikali ya Tanzania inaweza kuajiri wasomi wote 😁😁😁utapiga pesa balaa
 
Back
Top Bottom