Naomba maelezo ya huyu kiumbe wa ajabu

Naomba maelezo ya huyu kiumbe wa ajabu

aise

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2018
Posts
5,175
Reaction score
16,488
Kwa mara ya kwanza nimeona kiumbe wa ajabu, anaitwa "AXOLOTL"
Naombeni maelezo ya kiswahili kumuhusu.

Kwa haraka haraka nimesikia ukimkata kiungo fulani cha mwili (mguu etc), eti kinaweza kuota kingine baada ya muda fulani.

Kama hilo ni kweli kwanini wana sayansi wasifanye sayansi zao wakampandikiza hata kwa kuku ili tuwe tunakata mapaja, vipapatio n.k huku tukisubiri vingine viote.
 
Kwa mara ya kwanza nimeona kiumbe wa ajabu, anaitwa "AXOLOTL"
Naombeni maelezo ya kiswahili kumuhusu.
Ovyoooo kabisa. Ndio umeandika nini sasa! Unadhani tupo kichwani mwako tuelewe unalowaza!!
 
Ovyoooo kabisa. Ndio umeandika nini sasa! Unadhani tupo kichwani mwako tuelewe unalowaza!!

Mimi sijakushikia bunduki uje kwenye uzi wangu.
1, Nimeita wale ambao wanajua ninachohitaji kujua.
2, Nimeita wale ambao wanataka kujifunza kama mimi.
Sasa kama haupo kwenye kundi lolote hapo wewe ndiyo hovyo.
 
Mimi sijakushikia bunduki uje kwenye uzi wangu.
1, Nimeita wale ambao wanajua ninachohitaji kujua.
2, Nimeita wale ambao wanataka kujifunza kama mimi.
Sasa kama haupo kwenye kundi lolote hapo wewe ndiyo hovyo.
IMG_20220511_195428.jpg
 
Mimi sijakushikia bunduki uje kwenye uzi wangu.
1, Nimeita wale ambao wanajua ninachohitaji kujua.
2, Nimeita wale ambao wanataka kujifunza kama mimi.
Sasa kama haupo kwenye kundi lolote hapo wewe ndiyo hovyo.
IMG_20220511_195419.jpg
 
Kwa mara ya kwanza nimeona kiumbe wa ajabu, anaitwa "AXOLOTL"
Naombeni maelezo ya kiswahili kumuhusu.

Kwa haraka haraka nimesikia ukimkata kiungo fulani cha mwili (mguu etc), eti kinaweza kuota kingine baada ya muda fulani.

Kama hilo ni kweli kwanini wana sayansi wasifanye sayansi zao wakampandikiza hata kwa kuku ili tuwe tunakata mapaja, vipapatio n.k huku tukisubiri vingine viote.
Niliwahi kumsikia kitambo sana wakati nasoma o-level. washikaji kutoka Bukoba, Kagera ndiyo walikuwaga wanatwambia eti "ukimchokoza ana ogani kama vipembe ambavyo huviachia na kuanza kukufuata vikikupata vinakuuma navina sumu kali hatari". Sijui ndiyo huyo huyo au mwngine? but naona kama wanafanana...
 
Kwa mara ya kwanza nimeona kiumbe wa ajabu, anaitwa "AXOLOTL"
Naombeni maelezo ya kiswahili kumuhusu.

Kwa haraka haraka nimesikia ukimkata kiungo fulani cha mwili (mguu etc), eti kinaweza kuota kingine baada ya muda fulani.

Kama hilo ni kweli kwanini wana sayansi wasifanye sayansi zao wakampandikiza hata kwa kuku ili tuwe tunakata mapaja, vipapatio n.k huku tukisubiri vingine viote.
Sasa kama umemuona kwanini hukujaribu kumkata kiungo ili uthibitishe?
 
Mzee,ilitakiwa
ujifikilie wewe kwanza.

Kiungo kikifa au kukatika,kwenye mwili wa binadamu kiote kipya.

Hili ndo muhimu wanasayansi waanze nalo,huoni atleast tutaweza kusurvive to the infinity
 
Kwa mara ya kwanza nimeona kiumbe wa ajabu, anaitwa "AXOLOTL"
Naombeni maelezo ya kiswahili kumuhusu.

Kwa haraka haraka nimesikia ukimkata kiungo fulani cha mwili (mguu etc), eti kinaweza kuota kingine baada ya muda fulani.

Kama hilo ni kweli kwanini wana sayansi wasifanye sayansi zao wakampandikiza hata kwa kuku ili tuwe tunakata mapaja, vipapatio n.k huku tukisubiri vingine viote.
Wazo lako ndiyo limeka kienyeji [emoji23][emoji23]sana, yani huyo kiumbe awekwe kwa kuku ili. Ukikata paja la kuku liote lingine like serious [emoji1787]
 
Back
Top Bottom