Naomba majibu ya maswali haya kuhusu gesi ya Mtwara

Naomba majibu ya maswali haya kuhusu gesi ya Mtwara

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
1. Nani mmiliki halali wa gesi ile ya Mtwara?

2. Serikali inalipwa in terms of kodi au ilishalipwa kwa mauziano ya moja kwa moja, au mwekezaji kawa mmiliki mpangaji kwamba serikali itakabidhiwa mradi baada ya muda wa makubaliano kuisha?

3. Wakati mshikemshike ikitokea Mtwara na Lindi tulisomewa umuhimu wa ile gesi kwenye sekta ya umeme kwamba ni mwarobaini wa kukatikakatika umeme Tanzania, miaka michache baadaye tukapelekwa kwenye mradi wa bwawa la Nyerere. Vipi serikali ime prove kuwa ilikuwa wrong au nini kilitokea kati?

4. Ni website gani ya serikali imeweka bayana faida tunazopata kwenye ule mradi wa gesi?

5. Kwanini gesi ya kupikia bado ni ghari Tanzania?

Kwanini serikali isijenge kiwanda cha kusafisha gesi kwaajili ya matumizi ya nyumbani? Au kwanini kwenye mkataba mwekezaji hakuambiwa ajenge kiwanda cha namna hii?

Kama ile gesi tumedhulumiwa na wageni huku wabunge tuliowachagua ndio walikuwa wapitishaji wa ule mkataba je, kuna haja ya kuwa na Bunge?

Iundwe tu taasisi ya kutunga sera na Sheria yenye watumishi wachache wasomi ku replace wabunge wanaogharibu trillions za pesa za Kitanzania.

Uzalendo uanze kwa viongozi wananchi na watumishi wa chini titaiga
 
Ridhiwan anajua vizuri. Nashangaa hajawahi hata kwenda kuwashukuru wananchi wa Mtwara. Gesi ni mkombozi wa maisha ya vigogo. Nyie kajamba nani endeleeni kutwishwa ndoo ya maji na maji yenyewe hakuna.

Sasa hivi imani inanitoka kabisa kuhusu matendo serikali inatufanyia. Gesi ya Mtwara hisia zangu ilishapigwa mnada. Kuna mwana JF aliwahi kuandika andiko lake akasema kuna Melissa zinaenda kuchota na kuondoka. Tujiulize zinaondoka kwenda wapi? Sisi wananchi wanyonge kweli tunanyongwa sana.
 
Muhtasari wa AI

Mikataba ya uzalishaji wa gesi asilia duniani ni makubaliano ya muda mrefu kati ya wanunuzi na wauzaji ambayo ndiyo njia kuu ya kuuza gesi asilia na gesi asilia (LNG) kimataifa. Mikataba hii ni muhimu kwa kupata usambazaji thabiti wa gesi asilia na kupunguza tete ya bei.

Hapa ni baadhi ya vipengele muhimu vya mikataba ya uzalishaji wa gesi asilia duniani:
  • Muda: Kwa kawaida, mikataba ya muda mrefu ni miaka 20-25.

    Ugawaji wa hatari: Muuzaji anachukua hatari ya bei, wakati mnunuzi anachukua hatari ya kiasi.

  • Masharti: Mikataba ni pamoja na vifungu vya ukaguzi wa bei, mabadiliko ya hatua ya utoaji, na kufutwa kwa malipo.

  • Kupungua kwa kaboni: Mikataba inazidi kuingiza mahitaji ya kupunguza uzalishaji wa kaboni.

  • Aina: Kuna aina mbili za mikataba ya kununua gesi asilia: imara na ya kukatiza.
Baadhi ya aina nyingine za mikataba katika sekta ya mafuta na gesi ni pamoja na: Makubaliano au leseni, mkataba wa kushiriki uzalishaji, makubaliano ya Huduma, na makubaliano ya ushiriki.
 
R Moko huyo!

Uhai wa mtu mmoja tu tena kwa ujinga na ulafi wa vitu vya dunia vitaligharimu Taifa zaidi ya miaka 100 juu ya kitu inaitwa Ges ya Mtwara
 
1. Nani mmiliki halali wa gesi ile ya Mtwara?
2. Serikali inalipwa in terms of kodi au ilishalipwa kwa mauziano ya moja kwa moja, au mwekezaji kawa mmiliki mpangaji kwamba serikali itakabidhiwa mradi baada ya muda wa makubaliano kuisha?
3. Wakati mshikemshike ikitokea Mtwara na Lindi tulisomewa umuhimu wa ile gesi kwenye sekta ya umeme kwamba ni mwarobaini wa kukatikakatika umeme Tanzania, miaka michache baadaye tukapelekwa kwenye mradi wa bwawa la Nyerere. Vipi serikali ime prove kuwa ilikuwa wrong au nini kilitokea kati?
4. Ni website gani ya serikali imeweka bayana faida tunazopata kwenye ule mradi wa gesi?
5. Kwanini gesi ya kupikia bado ni ghari Tanzania?
Kwanini serikali isijenge kiwanda cha kusafisha gesi kwaajili ya matumizi ya nyumbani? Au kwanini kwenye mkataba mwekezaji hakuambiwa ajenge kiwanda cha namna hii?
### Kama ile gesi tumedhulumiwa na wageni huku wabunge tuliowachagua ndio walikuwa wapitishaji wa ule mkataba je, kuna haja ya kuwa na Bunge?
Iundwe tu taasisi ya kutunga sera na Sheria yenye watumishi wachache wasomi ku replace wabunge wanaogharibu trillions za pesa za Kitanzania.
UZALENDO uanze kwa viongozi wananchi na watumishi wa chini titaiga
Tembelea website ya TPDC
 
1. Kikwete.
2. Hailipwi, inadaiwa.
3. Uhuni.
4. Hakuna
5. Kwasababu Tanzania ni nchi ya wajinga wasioweza kuhoji wala kuidhibiti CCM.
Usilazimishe mambo, majibu yake yote unaweza kuyapata kwenye website ya TPDC. Siyo kila kitu utahutubiwa.
 
1. Nani mmiliki halali wa gesi ile ya Mtwara?
2. Serikali inalipwa in terms of kodi au ilishalipwa kwa mauziano ya moja kwa moja, au mwekezaji kawa mmiliki mpangaji kwamba serikali itakabidhiwa mradi baada ya muda wa makubaliano kuisha?
3. Wakati mshikemshike ikitokea Mtwara na Lindi tulisomewa umuhimu wa ile gesi kwenye sekta ya umeme kwamba ni mwarobaini wa kukatikakatika umeme Tanzania, miaka michache baadaye tukapelekwa kwenye mradi wa bwawa la Nyerere. Vipi serikali ime prove kuwa ilikuwa wrong au nini kilitokea kati?
4. Ni website gani ya serikali imeweka bayana faida tunazopata kwenye ule mradi wa gesi?
5. Kwanini gesi ya kupikia bado ni ghari Tanzania?
Kwanini serikali isijenge kiwanda cha kusafisha gesi kwaajili ya matumizi ya nyumbani? Au kwanini kwenye mkataba mwekezaji hakuambiwa ajenge kiwanda cha namna hii?
### Kama ile gesi tumedhulumiwa na wageni huku wabunge tuliowachagua ndio walikuwa wapitishaji wa ule mkataba je, kuna haja ya kuwa na Bunge?
Iundwe tu taasisi ya kutunga sera na Sheria yenye watumishi wachache wasomi ku replace wabunge wanaogharibu trillions za pesa za Kitanzania.
UZALENDO uanze kwa viongozi wananchi na watumishi wa chini titaiga
Na ongezea swali moja dogo la nyongeza je Mwendazake alisemaga nini kuhusu Gesi ya Mtwara ??????!!!!
Kwamba ……………….. 😳🙄😱
 
Mkuu, naomba nikujibu kama ninavyoelewa mimi,

1. Mmiliki halali hua ni serikali kupitia PURA vinatolewa vibali kwa wawekezaji na operations mara nyingi hua wanaingia joint venture na serikali kupitia TPDC.

2. Kodi inalipwa kwa serikali

4. Pitia PURA na TPDC websites.

5. Gas ya kupikia ni tofauti na gas ya mtwara.
Gas ya kupikia iliyopo kwenye mitungi ni by product ya mafuta (oil) na ni kimiminika inaitwa Liquified Petroleum Gas (LPG)
Gas ya mtwara inaitwa natural gas (Mathane mostly).

Zote zinaweza kutumika kupikia ila miundombinu yake ni tofauti. LPG inaweza kuwekwa kwenye mitungi kama inavyotumika sasa ila gas ya mtwara itaweza kutumika kama nishati ya kupikia kama kungekua na mabomba (pipeline) kusambaza majumbani kama ilivyo maji.

Ila viwandani wameshaanza kutumia hii system, majumbani kulikua na huo mradi ila sijui iliishia wapi.
 
1. Nani mmiliki halali wa gesi ile ya Mtwara?

2. Serikali inalipwa in terms of kodi au ilishalipwa kwa mauziano ya moja kwa moja, au mwekezaji kawa mmiliki mpangaji kwamba serikali itakabidhiwa mradi baada ya muda wa makubaliano kuisha?

3. Wakati mshikemshike ikitokea Mtwara na Lindi tulisomewa umuhimu wa ile gesi kwenye sekta ya umeme kwamba ni mwarobaini wa kukatikakatika umeme Tanzania, miaka michache baadaye tukapelekwa kwenye mradi wa bwawa la Nyerere. Vipi serikali ime prove kuwa ilikuwa wrong au nini kilitokea kati?

4. Ni website gani ya serikali imeweka bayana faida tunazopata kwenye ule mradi wa gesi?

5. Kwanini gesi ya kupikia bado ni ghari Tanzania?

Kwanini serikali isijenge kiwanda cha kusafisha gesi kwaajili ya matumizi ya nyumbani? Au kwanini kwenye mkataba mwekezaji hakuambiwa ajenge kiwanda cha namna hii?

Kama ile gesi tumedhulumiwa na wageni huku wabunge tuliowachagua ndio walikuwa wapitishaji wa ule mkataba je, kuna haja ya kuwa na Bunge?

Iundwe tu taasisi ya kutunga sera na Sheria yenye watumishi wachache wasomi ku replace wabunge wanaogharibu trillions za pesa za Kitanzania.

Uzalendo uanze kwa viongozi wananchi na watumishi wa chini titaiga
Kwa msaada wa AI

There are concerns about corruption in Tanzania's energy sector, particularly in relation to the ownership of LNG (Liquefied Natural Gas) in Mtwara, Tanzania. The Kikwete family has been mentioned in the context of corruption in the energy sector
2
. Research suggests that there is a strong risk of corruption and elite capture in the petroleum sector
3
. In fact, there have been high-profile corruption scandals in Tanzania's government and energy firms, which have strained relations with donors
4
.
 

Attachments

Mkuu, naomba nikujibu kama ninavyoelewa mimi,

1. Mmiliki halali hua ni serikali kupitia PURA vinatolewa vibali kwa wawekezaji na operations mara nyingi hua wanaingia joint venture na serikali kupitia TPDC.

2. Kodi inalipwa kwa serikali

4. Pitia PURA na TPDC websites.

5. Gas ya kupikia ni tofauti na gas ya mtwara.
Gas ya kupikia iliyopo kwenye mitungi ni by product ya mafuta (oil) na ni kimiminika inaitwa Liquified Petroleum Gas (LPG)
Gas ya mtwara inaitwa natural gas (Mathane mostly).

Zote zinaweza kutumika kupikia ila miundombinu yake ni tofauti. LPG inaweza kuwekwa kwenye mitungi kama inavyotumika sasa ila gas ya mtwara itaweza kutumika kama nishati ya kupikia kama kungekua na mabomba (pipeline) kusambaza majumbani kama ilivyo maji.

Ila viwandani wameshaanza kutumia hii system, majumbani kulikua na huo mradi ila sijui iliishia wapi.
Kwanini Nchi kama Qatar 🇶🇦 ni tajiri kweli kweli kwa sababu ya Gesi tu ???
Why not us too ???!!!!
 
Kwanini Nchi kama Qatar 🇶🇦 ni tajiri kweli kweli kwa sababu ya Gesi tu ???
Why not us too ???!!!!
Sector hii nchini bado changa sana, kuna plant za uzalishaji mbili tu kama sijakosea ya Lindi kupitia Pan African na Mtwara Maurel et Prom.

Gasi nyingi inayosemwa ni iliyogunduliwa ila uzalishaji bado.
 
Muhtasari wa AI

Mikataba ya uzalishaji wa gesi asilia duniani ni makubaliano ya muda mrefu kati ya wanunuzi na wauzaji ambayo ndiyo njia kuu ya kuuza gesi asilia na gesi asilia (LNG) kimataifa. Mikataba hii ni muhimu kwa kupata usambazaji thabiti wa gesi asilia na kupunguza tete ya bei.

Hapa ni baadhi ya vipengele muhimu vya mikataba ya uzalishaji wa gesi asilia duniani:
  • Muda: Kwa kawaida, mikataba ya muda mrefu ni miaka 20-25.

    Ugawaji wa hatari: Muuzaji anachukua hatari ya bei, wakati mnunuzi anachukua hatari ya kiasi.

  • Masharti: Mikataba ni pamoja na vifungu vya ukaguzi wa bei, mabadiliko ya hatua ya utoaji, na kufutwa kwa malipo.

  • Kupungua kwa kaboni: Mikataba inazidi kuingiza mahitaji ya kupunguza uzalishaji wa kaboni.

  • Aina: Kuna aina mbili za mikataba ya kununua gesi asilia: imara na ya kukatiza.
Baadhi ya aina nyingine za mikataba katika sekta ya mafuta na gesi ni pamoja na: Makubaliano au leseni, mkataba wa kushiriki uzalishaji, makubaliano ya Huduma, na makubaliano ya ushiriki.
Hapa ndugu zako wameguswa
 
Ridhiwan anajua vizuri. Nashangaa hajawahi hata kwenda kuwashukuru wananchi wa Mtwara. Gesi ni mkombozi wa maisha ya vigogo. Nyie kajamba nani endeleeni kutwishwa ndoo ya maji na maji yenyewe hakuna.

Sasa hivi imani inanitoka kabisa kuhusu matendo serikali inatufanyia. Gesi ya Mtwara hisia zangu ilishapigwa mnada. Kuna mwana JF aliwahi kuandika andiko lake akasema kuna Melissa zinaenda kuchota na kuondoka. Tujiulize zinaondoka kwenda wapi? Sisi wananchi wanyonge kweli tunanyongwa sana.
Gas ya mtwara inamilikiwa na Tanzania kupitia tpdc kwa 40%,acheni story zenu za vijiweni
 
Back
Top Bottom