Naomba majibu ya maswali haya kuhusu gesi ya Mtwara

Naomba majibu ya maswali haya kuhusu gesi ya Mtwara

Kwa msaada wa AI

There are concerns about corruption in Tanzania's energy sector, particularly in relation to the ownership of LNG (Liquefied Natural Gas) in Mtwara, Tanzania. The Kikwete family has been mentioned in the context of corruption in the energy sector
2
. Research suggests that there is a strong risk of corruption and elite capture in the petroleum sector
3
. In fact, there have been high-profile corruption scandals in Tanzania's government and energy firms, which have strained relations with donors
4
.
AI haijawahi kumuacha mtu salama
 
Hili ni jibu la kipumbavu.
Unategemea kila mwenye kutaka kufahamu taarifa juu ya jambo aende kwenye website? ya jambo analo taka kulifahamu?
Wewe unaye juwa yaliyoo huko kwenye TPDC kwa nini usiweke hayo unayo yajyua kwa mhtasari haa ili na yeye na wengine wayajue.

Huko kwenye wbsite ya TPDF nako kuna taarifa za mikataba iliyo ingiwa na serikali, kama ina manufaa kwa nchi?

Kwa hiyo, kwa kuwa kuna taarifa kwenye website, haya maswala yasijadiliwe na kujua uungufu wa taarifa hizo zilizoko huko TPDC?
Amekwambia hawezi kwenda page ya TPDC?
Amekwambia anataka mjadala? Mwache akasome Kwanza halafu ndiyo ujue.

Halafu hiyo ni njia rahisi na pia ni first hand info siyo ku pitia kwa mtu.

Sentensi ya mwisho nilitaka niandike kejeli ila bora niache.
 
Sentensi ya mwisho nilitaka niandike kejeli ila bora niache.
Ni bora umeacha, kwa sababu ninakufahamu toka muda mrefu sana humu JF. Ndiyo maana nilikuandikia kama nilivyo fanya hapo, nikisubiri hizo kejeli ili tuendelee na yale yale ya siku zote!
Una 'attitude' ya kipuuzi sana.
 
Ni bora umeacha, kwa sababu ninakufahamu toka muda mrefu sana humu JF. Ndiyo maana nilikuandikia kama nilivyo fanya hapo, nikisubiri hizo kejeli ili tuendelee na yale yale ya siku zote!
Una 'attitude' ya kipuuzi sana.
Hapo mwenye attitude ya kipuuzi ni nani?
Posts zote mbili umetukana na bado unajiona una heshima?
 
Hapo mwenye attitude ya kipuuzi ni nani?
Posts zote mbili umetukana na bado unajiona una heshima?
"Heshima" hupewa anaye istahili. Wewe hukuistahili kwa hayo niliyo ku'quote' na kwa kujua historia yako kuwa hustahili heshima.
 
Back
Top Bottom