Naomba maoni kuhusu biashara ya nafaka Dar es Salaam

Naomba maoni kuhusu biashara ya nafaka Dar es Salaam

Mimi ni mzoefu wa nafaka na ninafanya biashara hii nipo mwananyamala.... kiufupi pesa yako ni ndogo bado ungekuwa na angalau milioni 20...
kodi frem laki 3 kwa mwezi,, mwaka ni milion 3.6.... leseni laki 2,, Tra laki 5.... mapareti pamoja na kibanda cha cashier laki 5... mzani laki 6 jumla 5,400,000 ukitoa milion 9 zako unabakia na milion 3 na laki 6 huwezi kununua nafaka kwa hela hiyo labda kwa mali kauli sio cash

fanya uongeze pesa angalau milion 20.
 
Mimi ni mzoefu wa nafaka na ninafanya biashara hii nipo mwananyamala.... kiufupi pesa yako ni ndogo bado ungekuwa na angalau milioni 20...
kodi frem laki 3 kwa mwezi,, mwaka ni milion 3.6.... leseni laki 2,, Tra laki 5.... mapareti pamoja na kibanda cha cashier laki 5... mzani laki 6 jumla 5,400,000 ukitoa milion 9 zako unabakia na milion 3 na laki 6 huwezi kununua nafaka kwa hela hiyo labda kwa mali kauli sio cash

fanya uongeze pesa angalau milion 20.
Jf ina watu yenyewe ndio kama hawa
 
Mimi ni mzoefu wa nafaka na ninafanya biashara hii nipo mwananyamala.... kiufupi pesa yako ni ndogo bado ungekuwa na angalau milioni 20...
kodi frem laki 3 kwa mwezi,, mwaka ni milion 3.6.... leseni laki 2,, Tra laki 5.... mapareti pamoja na kibanda cha cashier laki 5... mzani laki 6 jumla 5,400,000 ukitoa milion 9 zako unabakia na milion 3 na laki 6 huwezi kununua nafaka kwa hela hiyo labda kwa mali kauli sio cash

fanya uongeze pesa angalau milion 20.
Kwa staili hii watu hawawezi fanya biashara ya nafaka..acha kumtisha hiyo hela inatosha sana kwa biashara ya nafaka.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kwa staili hii watu hawawezi fanya biashara ya nafaka..acha kumtisha hiyo hela inatosha sana kwa biashara ya nafaka.

#MaendeleoHayanaChama
Kanitisha hata Mimi wakati nasikia ukiwa na hata 1m tayari unaanza business.
 
mkuu hyo hele ni nyng asikudanganye mtu et ni ndogo, kwa mtaj huo ukiuwekeza vzr hutataman biashara nyngne bas tu sjui uko wap lkn una mtaj wa kutosha
 
Wadau ninamtaji wa mil 9 ambazo nimezipata kwenye uchimbaji wa dhahabu. Ila nahofia kizirudisha kwenye uchimbaji maana ni kazi ya bahati.

Natamani sana kufanya biashara ya nafaka dar, ila sina uzoefu. na yalikuwa matamanio yangu ya mda mrefu kufanya hii biashara.

Tadhari mwenye uzoefu anisaidie.
usiwe mwoga huo ni mtaj wa kukuingizia ml1 had 1.5ml inategemea unafqnyia wap
 
Mimi ni mzoefu wa nafaka na ninafanya biashara hii nipo mwananyamala.... kiufupi pesa yako ni ndogo bado ungekuwa na angalau milioni 20...
kodi frem laki 3 kwa mwezi,, mwaka ni milion 3.6.... leseni laki 2,, Tra laki 5.... mapareti pamoja na kibanda cha cashier laki 5... mzani laki 6 jumla 5,400,000 ukitoa milion 9 zako unabakia na milion 3 na laki 6 huwezi kununua nafaka kwa hela hiyo labda kwa mali kauli sio cash

fanya uongeze pesa angalau milion 20.
Hao wa mali kauli wana vigezo gani na wanaweza kukupa mzigo hadi wa kiasi gani
 
Mimi ni mzoefu wa nafaka na ninafanya biashara hii nipo mwananyamala.... kiufupi pesa yako ni ndogo bado ungekuwa na angalau milioni 20...
kodi frem laki 3 kwa mwezi,, mwaka ni milion 3.6.... leseni laki 2,, Tra laki 5.... mapareti pamoja na kibanda cha cashier laki 5... mzani laki 6 jumla 5,400,000 ukitoa milion 9 zako unabakia na milion 3 na laki 6 huwezi kununua nafaka kwa hela hiyo labda kwa mali kauli sio cash

fanya uongeze pesa angalau milion 20.
Kibanda cha cashier cha nini ukifungua sokoni kuuzia mlaji wa mwisho
 
Kibanda cha cashier cha nini ukifungua sokoni kuuzia mlaji wa mwisho
sasa hela unataka uweke wapi na madaftari yako ya hesabu??? lazima uwe na kiofis kidogo kwenye frem yako!!
 
Mimi ni mzoefu wa nafaka na ninafanya biashara hii nipo mwananyamala.... kiufupi pesa yako ni ndogo bado ungekuwa na angalau milioni 20...
kodi frem laki 3 kwa mwezi,, mwaka ni milion 3.6.... leseni laki 2,, Tra laki 5.... mapareti pamoja na kibanda cha cashier laki 5... mzani laki 6 jumla 5,400,000 ukitoa milion 9 zako unabakia na milion 3 na laki 6 huwezi kununua nafaka kwa hela hiyo labda kwa mali kauli sio cash

fanya uongeze pesa angalau milion 20.
Kwani analazimika kulipia fremu kwa mwaka hiyo Tra kulipa laki 5 za kazi gan kodi baada ya makadilio kwa mwaka? Maana kwa uelewa wangu ufanyae biashara ndo mwenye uwezo wa kujikadilia mwenyewe kwann uweke makadilio makubwa wakati ndo kwanza unaanza hiyo biashara mfano unaweza kuweka makadilio ya kulipa laki 3 kwa mwaka yaani 75,000/- kila baada ya miezi 3 halaf sio lazima ulipe yote kwa mkupuo mmoja unao uwezo wa kulipa hiyo 75,000 kila baada ya miezi 3. Kwa mtaji wake wa milioni 9 hakika anaweza fanya ulivyoanza wewe sio lazima kila mtu aanza hivyo biashara ni uvumilivu, kujituma, nidhamu, kauli n.k.
 
Nafaka ni biashara pasua kichwa….faida ndogo + slow turnovers ukicheck una gharama za pango, kulipa mfanya kazi, na gharama za kusafirisha. Kama unataka unataka kufanya biashara ya chakula fungua genge….hela ipo kwenye genge.

Sokoni vitu bei chee ukija ushuani au sehem za makazi unauza hata double the price (fatilia utanikumbuka yet mtaji wake mdogo tu i.e. pango ya frame au kutengeneza banda)

Kikubwa anza kdgo kdgo usiweke mzigo mkubwa wa kuharibika na kama ukiweka mzigo mkubwa uza very fair prices ili uwahi maliza kesho ulete stock mpya na ku attract wateja kuwa mbunifu tu na genge lako lionekane la kishua / lenye utofauti.

Nafaka for me is a No, Duka La Mangi nalo No, Kama hutaki kuchafuka nunua gari used fanya uber na ukomae mwenyewe.

Kwenye kutafuta mshipa wa noma weka pembeni kabisa maana aibu ya umasikini na fedheha ni kubwa sana kuliko aibu ya kutafuta.

Mtazamo Wangu Tu. Ahsante
Kaka tulisoma wote Cuba [emoji1083] eeh...! ? Maana hiz nondo ni zile zile tulizo jibia kwenye UE[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom