Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,357
- 3,550
Amemaliza ku-bleed kam wiki imepita. Katika kujicheki chini huko leo ameona kama vijipandevipande vya damu vimemtoka huko kunako. Ila ni kidogo sio ile saaana.
Wadada kwa wakaka hem naombeni mawazo hii kitu yawezakua nini?
Eti kwa woga woga wake anaona huenda ikawa mis-carriage fulani hivi!!!! Ni kweli yawezatokea hivi????
Nipeni mawazo yenu nitashkur
Wadada kwa wakaka hem naombeni mawazo hii kitu yawezakua nini?
Eti kwa woga woga wake anaona huenda ikawa mis-carriage fulani hivi!!!! Ni kweli yawezatokea hivi????
Nipeni mawazo yenu nitashkur