ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,832
- 11,964
Wahuni watu wabaya sana kama ni simu ya bei kali wala hawahangiki inaflashiwa wahuni wanazipeleka nchi jirani na zile zilizopigwa huko mfano labda congo ama zambia zinakuja bongo uta track mpaka uchoke mm na uhuni wangu wote walinipiga SAMSUNG NOTE 20 mpaka leo nimebaki na boksi na chaji [emoji1787][emoji1787][emoji1787]