Bullshit
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,357
- 1,596
Mbinu gani naweza kutumia ili kuridisha nywele zangu.
Watu waliniambia nitakuwa na upara lakini ni kitu sikujali sana, saiv naona kabisa nina upara.
Mwenye mbinu yeyote anawezakusaidia kurudisha nywele zangu ajitokeze kabla sijachukua maamuzi ya kukubaliana na hali yangu.
Huo ndo upara wangu
Watu waliniambia nitakuwa na upara lakini ni kitu sikujali sana, saiv naona kabisa nina upara.
Mwenye mbinu yeyote anawezakusaidia kurudisha nywele zangu ajitokeze kabla sijachukua maamuzi ya kukubaliana na hali yangu.
Huo ndo upara wangu